Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Mzee chawa wa JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We lia tu, hakuna atakayejali. Mbona Prof. Nabi kalia kwenye matv kwa kulikosa kombe la caf na hakuna mtu aliyehangaika naye?Nikicheka ntaambiwa nina dharau najifanya najua sana. Nikicheka kimyakimya ntaambiwa nina kiburi. Nikilia ntaambiwa kwani we ndo unauchungu kuliko wengine? Unalia nini sasa kwani hukujua? Nikishika hamsini zangu ntaulizwa kwani hujali?
Hakuna kinachotokea ambacho hakikutabirika au kujulikana...mbona wote mlijua kitatokea. Samia mtamlaumu bure...Kabudi uko wapi?
We lia tu, hakuna atakayejali. Mbona Prof. Nabi kalia kwenye matv kwa kulikosa kombe la caf na hakuna mtu aliyehangaika naye?
Come on man, fish stinks from the head, ulitaka Kabudi afanye nini? Kama Ndugai kwa kauli tu alindugaiwa na ni Spika wa Bunge ambalo linajitegemea ije kuwa Kabudi?
Nikicheka ntaambiwa nina dharau najifanya najua sana. Nikicheka kimyakimya ntaambiwa nina kiburi. Nikilia ntaambiwa kwani we ndo unauchungu kuliko wengine? Unalia nini sasa kwani hukujua? Nikishika hamsini zangu ntaulizwa kwani hujali?
Hakuna kinachotokea ambacho hakikutabirika au kujulikana, mbona wote mlijua kitatokea. Samia mtamlaumu bure.
Kabudi uko wapi?
Jamani kikwaapaaa! Kwani ni mpaka anisogelee hivyo?