Tunza uwepo wa Mungu
Member
- Jun 10, 2020
- 42
- 51
Ndugu yangu maswali yako yamekaa kihukumu vile!!nakushauri yule ni mtu wa Mungu hivyo mwache Mungu apambane na mtu wake,lkn kinywa chako kisitamke mabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika mkuu?Haya mambo yanachanganya wiki tatu hakuna mahubiri ni kuchambana tuu,sipati picha waumini wanatoka na hubiri gani!?
Amenwale wameokoka ni wafuasi wa Yesu Kristo na Gwajima ni mtumishi wa Yesu krissto,,,,,wana akili sana kwa sababu wamezaliwa upya sio kwa damu na nyama bali kwa roho mtakatifu,ni vigumu sana kuelewa
Your so smart Ni kweli kbsaGwajima ukimsikiliza kwa chuki unaweza ukadhani ni mjinga ila jamaa ni very smart man wakati utaongea
Smart?? That's the big joke!!! Huyo muhuni tuu ambaye kapata kundi la wajinga kama ilivyokuwa kwa yule Kibwetere...Gwajima ukimsikiliza kwa chuki unaweza ukadhani ni mjinga ila jamaa ni very smart man wakati utaongea
Wale waumini sijui ni binadamu wa kawaida?wale wameokoka ni wafuasi wa Yesu Kristo na Gwajima ni mtumishi wa Yesu krissto,,,,,wana akili sana kwa sababu wamezaliwa upya sio kwa damu na nyama bali kwa roho mtakatifu,ni vigumu sana kuelewa
Waumini wake amewazidi akili, wao wanashangilia na kuona hayo ndio mahubiri.Haya mambo yanachanganya wiki tatu hakuna mahubiri ni kuchambana tuu,sipati picha waumini wanatoka na hubiri gani!?
Yaelekea unafanana nae kwa ukilazaGwajima ukimsikiliza kwa chuki unaweza ukadhani ni mjinga ila jamaa ni very smart man wakati utaongea
😂😂😂😂Arteta must go! Samahani lakini