Mbaya zaidi anayekuuliza yuko kilomita 1000Umekula ?
Umejuaje?.....hahahahaMbaya zaidi anayekuuliza yuko kilomita 1000
Kazi kweli x2Mimi sipendi mtu akiniuliza unamiaka mingapi?
Ulikuwa na wanaume wangapi na pia sipendi mtu anidadisi maisha yangu kiufupi ila mimi napenda kukuliza
Kuna mtu alijuwa akiniuliza hilo swali. Nilikuwa napatwa na hasira. Mtu anakuuliza utafikiri anataka kuja kukupikiaUmejuaje?.....hahahaha
Silipendi hilo swali balaaaKuna mtu alijuwa akiniuliza hilo swali. Nilikuwa napatwa na hasira. Mtu anakuuliza utafikiri anataka kuja kukupikia
nalipenda sana hili swali,Unanipendea nini?
Wacha we[emoji1] [emoji1] [emoji1] kidogo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] karibuWacha we
Una vumbi la kongo kwako?[emoji1] [emoji1] [emoji1] karibu
Hahaha sijawahi tumia hyo kitu naiskiaga tuUna vumbi la kongo kwako?
Hahaaa!!!!! Huyo atakuwa mchepuko!!!Kurudi nyumbn harafu unauliza, vp leo unaoga?