Swali gani hupendi kuulizwa?

Swali gani hupendi kuulizwa?

Niende sehemu nipige Hodiiiiii afu mtu aropoke tu we nani ??? Inqniudhi sana
Sasa si ujitambulishe kuna ubaya gani..siku hizi watu wasiojulikana wengi...ugonge hodi hutaki kujitambulisha alafu unataka nifungue mlango kizembezembe tu..kuna mmoja alikuwa anagonga hodi nyumbani usiku dogo anamuuliza nani alafu linakaa kimya...yule mjinga nusura nitoke nje kumzaba vibao
 
Demu anakuuliza eti hivi ulinipendea nini.Basi siku akitaka kuja maghetoni anakuuliza eti umeniandalia zawadi gani.Mi akiniuliza hizo maswali huwa najawa gadhabu naenda kushave ndevu zangu ili zikae vizuri
 
Uko Wapi?
Unafanya Nini?

Halafu kuna mwingine anakupigia kisha anakuambia, "Niambie". Nicca Please
 
Kuseama ukwelu mie sipendi kuulizwa swali hili na ndugu : "kama mambo ni magumu kuna mganga mmoja atakusaidia"
Nimeapa siku wakijichanganya na mganga wao nawamwagia petrol
Siaminigi upuuzi huu
 
Kuseama ukwelu mie sipendi kuulizwa swali hili na ndugu : "kama mambo ni magumu kuna mganga mmoja atakusaidia"
Nimeapa siku wakijichanganya na mganga wao nawamwagia petrol
Siaminigi upuuzi huu
Alama ya kuuliza tuweke wapi hapo?
 
Hivi kwa watoto wa mzee (akitaja jina la baba yangu) wee ni mtoto wa ngapi?
 
Back
Top Bottom