Swali gani la kijinga uliwahi kujiuliza?

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Katika maisha kuna mambo mengi sana ambayo unaweza ukawa unajiuliza hupati majibu na kuuliza unaogopa ebu tushirikishane kitu gani cha kijinga ulikuwa unajiuliza ukaja kupata jibu ukaishia kujicheka sana..[emoji23][emoji23][emoji23]

Nilikuwa najiuliza kitanda kinapitaje mlangoni wakati watu wanahama au kikinunuliwa???[emoji23][emoji23][emoji23]
 
watu wanaingiaje kwenye redio maana tunasikia sauti zao
 
Mimi wakati niko mdogo niliwah kujiuliza hivi wanaume wakubwa wana miujiza gani?
Inakuwaje mwanamke anakuja geto mwenyewe, halafu anavua nguo mwenyewe bila miguvu na kipande Cha nyama kinamuingia?
Basi nikawa naona wanaume wakubwa Kama wachawi vile!
 
Kwanini wasukuma wanadaiwa ni washamba akati me sijaona Ushamba wao??Kwanini kila Kabila lina lafudhi yake?
 
unatumia emoji kama muuza kijambio unajichekesha kama kahaba kaona bia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama utaka kuti****wa kua muwazi Acha hizo njia njoo PM uniombe Mimi ntakusaidia kama binadamu mwenzangu hata kichwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…