Swali gumu kwa Atheists

Swali gumu kwa Atheists

Kama nimekuelewa hapa hoja yako ni kuwa kwa vile binaadam amaeadvance in knowledge na uwezo kulinganisha na Wanyama kama mbuzi... basi hiyo ina halalisha uwepo wa MUNGU.
Kama ni hivyo huyu MUNGU ni wa binadamu tuu na hausiki na wanyama wengine? Au inakuwaje? Kwa nini iwe ni binadamu tuu na sip viumbe wote wapate hiyo Baraka ya kuadvance in knowledge and ability??
Huoni kuwa hii hoja yako inaweza kuwapa nguvu wanaoamini vinginevyo na wewe??
Swali litakuja kwa nini huyu MUNGU Kama yupo ameviacha viumbe vingine hivyo vilivyo na vingine kwenye hali ya kuteseka ili wengine waishi??
ADAM alipoumbwa kazi ya kwanza aliyopewa na MUNGU ni kuwapa majina wanyama!!!{ndio chanzo cha ubatizo].....so binadamu yupo kwa ajili ya kutumikia MUNGU,ndo manake tunaamini ktk MUNGU na ndo manake kuna dini mbalimbali,ukrsto,uislam,budism,hindu n.k,,,,,,na ndo manake kuna misikiti,makanisa,mahekalu n,k,,,so,wakti watu wakiishi kwa ajili ya MUNGU,wanyama wanaishi kwa ajili ya binadamu,ndo manake baadhi yao tunawala,na ndo manake binadamu hawaliwi!!!!!! au sio???.......sasa wewe ndugu yangu usiyekuwa na shukran ya uumbaji wa MUNGU au uwepo wake nataka nikuulize swali!!! ivi mbuzi wana dini au miskiti au wanaabudia wapi??? naje??? ulishawahi kuona makaburi ya wanyama??
 
Back
Top Bottom