Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
This is very accurate😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is very accurate😂😂😂
sasa kwa nini mbuzi hawajapitia mageuzi ya namna hiyo????,na kama mashoga wanamwamini MUNGU mambo wanayofanya wanaweza kubeba mimba?Binadamu amepitia mageuzi akawa sentient(akapata utashi)
Mashoga wanaoamini uwepo wa Mungu wapo sana tu, sema nimeshaona unaelekea wapi, huu mjadala hauna afya
ADAM alipoumbwa kazi ya kwanza aliyopewa na MUNGU ni kuwapa majina wanyama!!!{ndio chanzo cha ubatizo].....so binadamu yupo kwa ajili ya kutumikia MUNGU,ndo manake tunaamini ktk MUNGU na ndo manake kuna dini mbalimbali,ukrsto,uislam,budism,hindu n.k,,,,,,na ndo manake kuna misikiti,makanisa,mahekalu n,k,,,so,wakti watu wakiishi kwa ajili ya MUNGU,wanyama wanaishi kwa ajili ya binadamu,ndo manake baadhi yao tunawala,na ndo manake binadamu hawaliwi!!!!!! au sio???.......sasa wewe ndugu yangu usiyekuwa na shukran ya uumbaji wa MUNGU au uwepo wake nataka nikuulize swali!!! ivi mbuzi wana dini au miskiti au wanaabudia wapi??? naje??? ulishawahi kuona makaburi ya wanyama??Kama nimekuelewa hapa hoja yako ni kuwa kwa vile binaadam amaeadvance in knowledge na uwezo kulinganisha na Wanyama kama mbuzi... basi hiyo ina halalisha uwepo wa MUNGU.
Kama ni hivyo huyu MUNGU ni wa binadamu tuu na hausiki na wanyama wengine? Au inakuwaje? Kwa nini iwe ni binadamu tuu na sip viumbe wote wapate hiyo Baraka ya kuadvance in knowledge and ability??
Huoni kuwa hii hoja yako inaweza kuwapa nguvu wanaoamini vinginevyo na wewe??
Swali litakuja kwa nini huyu MUNGU Kama yupo ameviacha viumbe vingine hivyo vilivyo na vingine kwenye hali ya kuteseka ili wengine waishi??
Rastafarianism make sense😆