Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
Huyo dada hafanyi cheating (usaliti) yoyote kwani hana mtu anayemrusha roho...Ila huyo mume wa mtu anamcheat mke wake....
Kwa vile amekiri kuwa si vizuri na kwamba anapenda kuwa committed basi agentafuta wake aachane na ku-share mume wa mtu!!
Babu DC!!
Ulikuwa wapi jana wakati nashambuliwa? Mimi nilisema, jina linalomfaa ni mwizi na si cheater!
Thanks DC!