Swali: Haya mafuta yaliyopanda bei yameingia lini nchini?

Swali: Haya mafuta yaliyopanda bei yameingia lini nchini?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nina maswali ambayo nimeyawaza baada ya ku smell kitu.

Ni kama vile wasimamizi wa nishati na mafuta kama wanafanya biashara ya mafuta hivyo wanajiimarisha kiuchumi.

Swali 1.
Haya mafuta yaliyoanza kuuzwa leo kwa bei ya juu yameingia lini nchini?

Swali 2.
Mafuta yale ya bei ya zamani yameishia au yamekadiriwa kwisha siku ya jana?

Swali 3.
Hayo mafuta yaliyoagizwa na serikali yatakapoingia yatauzwa kwa bei hii ya sasa, bei ya zamani au bei mpya (kubwa au ndogo zaidi).

Swali langu kuu limelala hapo nambari 5.
 
Nina maswali ambayo nimeyawaza baada ya ku smell kitu.

Ni kama vile wasimamizi wa nishati na mafuta kama wanafanya biashara ya mafuta hivyo wanajiimarisha kiuchumi...
Umeuluza vzr ingawa sijui kama majibu yatakudhiiiii
 
mzee bidhaa zinauzwa kwa bei ya sokoni na sio bei uliyonunulia, mfano wewe ni muuza machungwa bei ya sokoni ni sh 100 kwa chungwa, umenunua tenga moja kufika ukaanza kuuza, na baada ya wiki bei ya sokoni ikapanda machungwa yakawa sh 200, hautasubiri hilo tenga liishe ndo upandishe bei, ila immediately utaadjust ili uendane na bei ya soko haijalishi umenunua kwa bei gani, hivyohivyo hata bei ikishuka inakua hivyo.,
 
Mbeya unatinga na msimnazi wako Sheli, unaambulia 2.8lts!
Sasa ni mwendo wa kupigalapa?
 
Back
Top Bottom