Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Umeuliza swali la msingi sn. Majizi kazini.Nina maswali ambayo nimeyawaza baada ya ku smell kitu.
Ni kama vile wasimamizi wa nishati na mafuta kama wanafanya biashara ya mafuta hivyo wanajiimarisha kiuchumi...
Hii mijizi inaboa sanaUmeuliza swali la msingi sn. Majizi kazini.
Wapigwe na kimbunga wayeyuke tuWAMERUDI
Dua la kuku halimpati mweweWapigwe na kimbunga wayeyuke tu
Sio BidenTabu yote kaileta Putin...
Sio Biden
Umeuluza vzr ingawa sijui kama majibu yatakudhiiiiiNina maswali ambayo nimeyawaza baada ya ku smell kitu.
Ni kama vile wasimamizi wa nishati na mafuta kama wanafanya biashara ya mafuta hivyo wanajiimarisha kiuchumi...
Magreat thinker kama kina RRONDO siku hizi wamekata tamaa hadi wanasusa kuingia jamvini.Nchi imerudi patamu alisikika kichaa fulani mwenye kupayuka mataga kila kukicha