Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Hivi huwa anaimba au anaongea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
okay ...maisha haya ndugu " ukiwa katika mainstream lazima uwapotoshe watu kwa kuwaaminisha uwongo kuwa ndio kweli " ili waweze kukufuata.... mimi nimeshakaa sana na Jamaa..nimvaaji viatu mzuri tu..muda wote "" ila ndio kama hivyo nilivyokwambia..akitokea kwenye media au mkusanyiko wa watu wengi ..kama mwenge ..mbagala..Posta lazima atembee peku...lakini inakuwa si tatizo sana kwa sababu hatembei umbali mrefu kwa sababu anakuwa anausafir ambao ameuacha mahalina hakika sana juu ya ilo, Am wondering msalani uwa anaingia vipi? lazima uwa anavaa viatu la sivyo atakuwa ni mchafu aliyetukuka na asiyemfano wa kuigwa.
napenda mashairi yake sana.
Hakika mkuu,okay ...maisha haya ndugu " ukiwa katika mainstream lazima uwapotoshe watu kwa kuwaaminisha uwongo kuwa ndio kweli " ili waweze kukufuata.... mimi nimeshakaa sana na Jamaa..nimvaaji viatu mzuri tu..muda wote "" ila ndio kama hivyo nilivyokwambia..akitokea kwenye media au mkusanyiko wa watu wengi ..kama mwenge ..mbagala..Posta lazima atembee peku...lakini inakuwa si tatizo sana kwa sababu hatembei umbali mrefu kwa sababu anakuwa anausafir ambao ameuacha mahali
Vipi mkuu mbona umeguna? mi mwenyewe hapo nimeweka salama ya kuuliza,sijaelewa maana yakeMnhh...
!!!!!