Swali ilipo Stendi mpya ya Mbezi

Swali ilipo Stendi mpya ya Mbezi

Ndio Daladala zinazo toka njia ya buguruni(kutoka g/mboto,Temeke nk) kuelekea Mbezi huwa zinafika mwisho wa mbezi(kama kituo Cha daladala ya mbezi). Ukishafika kituonii hapo upande wa kaskazini Magharibu utaona jengo La stendi hiyo ya Mabasi maan ni kubwa na lina muundo tofaut na majengo mengii(unaeza uka google picha yake kukuona ili upate picha ya utakachotegemea kukiona ukifika) pia utawaona madalali wengi tuu na utaona hata watu wengine wakinaelekea huko maana kuna hitaji kuvuka barabara ya morogoro ili kwenda stendi hiyo.. Kwa ushauri ikiwa huitaji kelele za madalali ukishuka usiwahoji fika sehemu unaona unaeza mhoji muhusika kama vile machinga kukuonesha njia ya kuelekea huko itakusaidia zaidi.
Asante sana mkuu
 
Hahaa ivi ni kwa nini dar ukiuliza kitu unaonekana mshamba?
Ni mtu tu kujishtukia, haiwezekani ukafahamu kila sehemu na kila kitu, kuuliza ni muhimu.
Mimi nauliza chochote ambacho sifahamu na sijawahi kujibiwa vibaya
 
Back
Top Bottom