Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
UNA RISITI KUWA NADANGA?Kama wewe
LETE BASI HAPA NAKURUHUSUKAMA HUNA USINIZOEE HUNIJUI SIKUJUI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNA RISITI KUWA NADANGA?Kama wewe
Makala zako ni risiti tosha.UNA RISITI KUWA NADANGA?
LETE BASI HAPA NAKURUHUSUKAMA HUNA USINIZOEE HUNIJUI SIKUJUI
Kama ni mtihani ushapata division 0Makala zako ni risiti tosha.
Kwahiyo we ni Free Mason?!"Danga ni mtu ka mimi, anaye honga sana mademu alafu ananyimwa chini"
Mwisho wa kunukuu!
Sent using akili yangu
Ukikamatwa useme unaonewa
Endelea kusubiri kama wakristo wanavyomsubiria Yesunjoo nikulambe kwanza ili nikupe maana ya danga
EhDanga:
ni kisawe cha msamiati KIJANA
pia huweza maanisha tafuta kitu kilichokuwa adimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo we ni Free Mason?!
Unagawa hela huchukui uroda unakamata destinies za watu?!
Ila unalipia destinies ee?!Mimi siwezi lipia uroda dada angu.
Sent using akili yangu
Ya TATAKI(Taasisi ya taaluma za kiswahili) ambayo zamani ilikuwa inaitwa TUKI(Taasisi ya uchunguzi wa kiswahili) ni toleo la tatuEh
Umetumia kamusi gani? !
Ila unalipia destinies ee?!
Ya TATAKI(Taasisi ya taaluma za kiswahili) ambayo zamani ilikuwa inaitwa TUKI(Taasisi ya uchunguzi wa kiswahili) ni toleo la tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16]ndio nitakua nimeonewa coz nimezungumza ukweliUkikamatwa useme unaonewa
Bro una risiti? !
La! Mimi ni mdau wa kiswahili natoa maana iliyopo kwenye kamusi, kauliza nikajibu. Alipotaka kujua kamusi gani nimemtajia, sijachukulia serious kivile na wala halijanigusa. Nimemjibu alivyoulizaMkuu hili swala limekugusa, mbona umechukulia serious ivyoo? [emoji23][emoji23]
Sent using akili yangu
La! Mimi ni mdau wa kiswahili natoa maana iliyopo kwenye kamusi, kauliza nikajibu. Alipotaka kujua kamusi gani nimemtajia, sijachukulia serious kivile na wala halijanigusa. Nimemjibu alivyouliza
Sent using Jamii Forums mobile app