Nukuhunga mkono wanawake wako sana ngangali ki-physiolojia tatazo lao kubwa ni "KUDANGANYIKA KIRAHISI" hata awe ame elimika kiasi gani, akitokea njemba ambaye ni mahili kujieleza basi sijuhi akili zenu kwa nini huwa zinahama kwa muda mnajikuta mnafanya mambo ya KUSHANGAZA with a noboby!
Siwasemi kwa nia mbaya, lakini mimi hicho huwa kina nishangaza sana! Kibaolojia wanawake utumia hemiphere zote za ubongo wao i.e left and right simultaneously tofautati kabisa na wanaume wanao tumia predominantly upande mmoja! Mtu ungetegemea wanawake wangekuwa na analytical mind mara dufu ya wanaume, lakini for some reason mambo yako tofauti KABISA - may I know WHY, her majesty CharmingLADY?