SWALI : Je umeshawahi kulala na mpenzi ukatamani pakuche haraka uondoke/aondoke?

SWALI : Je umeshawahi kulala na mpenzi ukatamani pakuche haraka uondoke/aondoke?

Jamani haya maisha nimepitia vituko vya kukata na shoka.


Mwenzenu kuna siku nililala na mwanaume alikula ugali na makange ya kuku yana pilipili akaongeza na pilipili ya kukata pembeni pilipili mbuzi/kichaaa.

Mwanaume anapenda pilipili kama mhindi.

Wakati wa kugegedana akanipapasa na mikono kwenye harage jaman alafu tukafanya tendo la ndoa kama akaikoroga kuliwaka motoo kama nimechochea jiko la kuni NILITAMANI PAKUCHE HARAKA NIRUDI NYUMBANI MAANA HUYU FRANK HAKUAMINI KAMA PILIPILI IMEKOLEA YANI NILIKOMA NILIHISI MOTO UMEWASHWA KUNAKO.

Demiss Malaika.
Rubbish,Pumbavu, halafu unakuta ni mwanamke mkubwa kabisa tena unaweza unaona ana watoto
 
mtani wangu mshanajr ana kazi kweli kweli..
Kazi gani tena jaman mm mkewe nimetulia hayo ni maisha kabla sijawekwa mtu kati na mtani wako akafunga milango yote ya balaa
 
Kuna mmoja huyo sikumfeel kabisa so I had to fake an emergency .. Nikapigiwa fake call nyumba yangu inawaka moto nikaamsha chap kama upepo ..ndukiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom