Wewe bigmind toka unitongoze nikakukataaa baada ya kukuona mbaya naona kila thread zangu unahangaika kuponda poleee sana nduguKama vile umeota, kabaya hako kakavu kama ukoko wa ugali wa udaga.
Maneno yangekuwa yanaendana na mtu kangekuwa karembo sana, but overused kwa kingereza tunasema ni regular/secon'hand...!
Pole zake mr. Matunguri.
Penzi jipya mkuu..ata gemu nilikua sijaonja ata gemu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]na anagekuona live ndo balaaaaa huyo alikuwa anakukimbia kijanja bora ulijiongezaaaa
Eehee alikuwa anaitwa Glory Robinson, yupoje?Ni sawa na kulikuwaga mtangazaji wa radio free Groly alikuwa ana sauti nzuri yule dada siku namuona heeeeeee kidogo nikatae Mungu huyu hakupi vyote
Aiseee ukimkumbatia unakutana na mafupaaa jaman khaaa mm sitakHahahaha sababu maalumu ni kuwa wana mifupa sanaa wanaumiza kati kati ya mapajaa akiwa anpump inatangulia mifupa kukuchomaa ,ukijisahau tu kamkono kake kanakuchomaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We kauzu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka nilikua naishi vikindu... Kuna kaka mmoja si akapotea namba bana basi tukaanza kuwasiliana...... Mawasiliano yakazidi mpaka akanitongoza..... Anaongea vizuri hatari anaongea kingereza hivi swaga kibaooo nkaona yes huyu mwanaume...... Tukapanga tuonane mbagala stand ya tandika....... Nkawahi kufika pale.... Nimekaa chini naona mtu anakuja huku anapiga simu kibaya alishaniona akaja kukaa nilipokaa....jamani kile Kitu tu lol....... Yaaani ana michunusi kama majipuuu sura nzima mfupi huyohuyo... Kavaa suruwali na koti kapiga mkanda nje Madai yake amevaa suti hahahahaha .....alivoniongelesha nkamwambia nawahi kipindi tutachati..... Niliinuka kwa speed ya chopa akawa ananipigia simu y nimeondoka sijui nini nikamwambia bro you are not my type.... Nikamlima block
hahahahahahaha,sina la kuongezaMimi nimkimbie mtu? Siwezi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]doooohhh mi sijawahi kukimbiwa ila niliwahi kimkimbia dada mmoja hv......tumejuana kwnye mitandao bs tukapanga tuonane stend kuu mbeya......Bwana weeee........mtu mzima siku hyo nimeoga sanaaa yn jisugua visigino haswaa........nikafuta kiatu changu freeeesh kabisa.......
Yani ilikua lazma nifanye hvo mana mtoto anasema anaishi forest mpyaa bwana......
Nikajiandaa na kawallet kana kama 80 elfu hv kwa ajili ya kwenda kukaa nae maeneo flani mwanana kabisa.
Ebwana weeee......siku nikasema nikipanda daladala toka hapa kabwe mpka stend kule watanichafua.....
Mtoto wa kiume nikakodi kabajaji bwana peke yangu mpka stend.
Bs nilitangulia mm kufika huku yeye akidai ndo anapanda gar pale mkoani anashukia meta then pale anadaka gar ingine mpka stend....
Jamani yule dada anasauti nzuri mpka leo sijawahi kuona...yan ilikua tukiongea kwnye cm dk 5 tu mi tayar dushe imesimama chwaaaa....
Sasa sku hyo mara simu inaita.....""Hello my mi ndo naingia stendi hapa nimepanda gari imeandikwa nanii"""
Haaa yn kuskia hvo aisee nkasema kweli Mungu hamtupi mja wako aiseee.....Yn mtoto wa uswazi leo naenda kubeba bonge la totoooo tena la ushuani.......aaaahhh waniache....
Basi Macho yote kweny lango la stend kuangali gari inayoingia huku nikiwa na taadhari kwamba nihakikishe mim ndo niwe wa kwanza kumuona. Lakn sikuwaza kwamba akiwa m'baya nikimbie bali niliwaza yn akiwa mzuri sana kupita kias na kapendeza kias cha kwamba hatuendani basi nazama mitini mwenyewe na laini natupa.
Mara naona gari inaiingia....moyo unanidunda fasta hapo...mara imesimama...
watu wanaanza kushuka taratibu....kiukweli mpka wanaisha skuona hata mmoja wakuendana na ile sauti....nilikua nimejibana chobingo flani hv ikabidi nijisogeze kdgo karibu na gari ila kwa style flan yn kama vile na mm ni konda pale....
Mara cm yangu mfukoni inaita...bahat mbaya niliweka mlio...bs pale ikawa inaskika cm yangu tu...nikajaribu kuzuga mama mmoja akauliza"" jaman sio simu yangu inayoita"" konda akadakia "" hapana sio yako ni ya huyu broo hapa"" akionesha kidole kwangu.
Basi watu wote wakageuka kwangu macho waaaaaa......!!!
Nilivokauzu nikasema hapana haiiti ni meseji inaingia...
Sasa bhana kumbe yule dada amekaa pembeni ananichora kama ni mm au lah mana nilipoongea sauti yangu akawa ameistukia.....akapiga tena...hahahahahahaa weeeeeeee cm hyo ikaanza kuita.....sasa mimi ile kuangaza nikajikuta nimegongana macho na sura moja hiv hata nikisema ni yakiume ntakua nimewavunjia wanaume heshima.....
wanaume wazur bhana......
misiongee sana ila yule dada nilimkaushia kabisa pale tena nikajifanya mkatisha tiketi pale kabisaa nilivopata upenyo dk 6 tu nikawa nipo gheto kwangu sebuleni nachek zangu muvi na laini nshaitupa njiani..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sijawahi kumkimbia demu yeyote na haitatokea kwangu japokuwa huwa nakuta ni nusu ya matarajio aliyokuambia Kuhusu sifa zake.
Namhudumia kila kitu, kama ametoka mkoa tofauti na nilipo ila uhusiano haudumu sana.
Ila kwa sasa tukikutana kwenye mitandao lazima utupie hata Selfie 3 tuonane vyema.
Kuna mmoja nilikutana alitokea Wilayani kuja mjini, dah! Sitasahau. Ilibidi niende naye lodge nikalipia chumba na chakula. Saa 2 usiku nikamwambia nimeitwa ofisini Kuna kazi.
Nilimfuata kesho yake asubuhi saa 3. Nikampandisha gari akarudi home.
Sikumwambia kama sijampenda ila mawasiliano hayakudumu.
Hahahaaha watu mnamanenoHafu mwenyewe utakuta unasura ka tako la dreva wa semi trela za kwenda kongo + Vigimbi kama banio la sufuria (Mpanti)
Hahahahahaha kibaya huwa nakasirika saaanaaaa nkimkuta mtu wa ovyoWe kauzu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiekuwa na imani nae ndio unamfanyia hivyo.Sana jamani. Sema mi najikubali nakupa tu zangu kama ukinikataa basi bwana [emoji23]
mmmh,usifanye hivyo ,hiyo moja tu inatoshaTena wewe nimekuweka kwenye radaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nitakukimbia mpak ulie[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Huyo bigmind anatongoza kila mwanamke anatolewa nje tena asilete ujuaji nitaleta ushahid sasa hivi atulie watu tuchit chat atulize milonjooo yake chiniKwakwaaaaa ila ww jamaa sijui walikukosea nini wanawake wa Jf teh teh
Vp Mama sabrina & mzigua90?
Nikuwafumbia macho tu