Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Sasa alikua na sura ya nani?
 
kuonana na mtu unamzania kichwani kwako ni ngumu aisee,,unakuta ndivo sivo
 
kuviziana na mtu nisiemjua[emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka
mm sikimbiagi wala ,ntakupotezea next days
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kuviziana ni balaaaaa
 
Ni mawazo yakooo tu utakavyoona wewe

Na akili yako fupi na uangalie hili jukwaa gan kwendraaaaa
Kubali upo cheap
Hata kama ni jukwaa Gani
Lakini ki uhalisia upo hivyo
Mwanamke aliyefundwa kwao akafundika
Hawez kuwa cheap hivyo.yaani mtu humjuh hata kuonana naye ujawahi anakutongoza Na unamkubalia
Duh inamaana angekuwa kakizi mngedate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…