[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakisema wanawake watoke wenye pm za bigmind utakimbiaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mwifwaa ukinikimbia nakwambia utanikomaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dada niko nafanya mazoezi hapa ya mbio ndefu maana tumetahadharishwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui kwanini nikisoma najisikia kuchekana ndio hapo nashangaa unamkimbiaje mtu mzima mwenzako? ,ila wadada nyie wa mujini ,hili zoezi mnaliweza sana
[emoji8][emoji445][emoji8][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha hahaha nadhani atakuwa wa Mkoani ndo kahamia DarDemiss kaamua kutudhalilisha toka jana anatusema wanaume. Sa mwanaume wa dar atachomekeaje tshirt kwenye kaptula, kwan anaenda kucheza gofu!!!
hahahaha,we unanicheka si bure ,mtu mzima kakubali matokeoSijui kwanini nikisoma najisikia kucheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mwache beb wangu hawakawii kumfungulia uzi akisema ukweliWewe tena mweeh huna break funguka tuenjoy maishaa kwan kuna nn?why
Aiseee glory robson mm nilikuwa nampenda yule mtangazaji wa kipindi cha Asubuhi sjui kina kipengele cha Tano za motooo uwiiii anasaut nzur unipe jina lake nimgoogleNi sawa na kulikuwaga mtangazaji wa radio free Groly alikuwa ana sauti nzuri yule dada siku namuona heeeeeee kidogo nikatae Mungu huyu hakupi vyote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]naona huu uzi umejaa ma HB na WAREMBO, kila anayekoment aliishia kumblock mhusika,,, wekeni picha tuwaoneee,, mana sio kwa kujisifia uko, [emoji23] [emoji16]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] mm Kama mkuu wa wilaya nina mamaka ya kukuweka ndani 48 hours......Kuna muheshimiwa fulan jina kapun hana smart anatumia nokia tochi