Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dada niko nafanya mazoezi hapa ya mbio ndefu maana tumetahadharishwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mwifwaa ukinikimbia nakwambia utanikomaaaa
 
Demiss kaamua kutudhalilisha toka jana anatusema wanaume. Sa mwanaume wa dar atachomekeaje tshirt kwenye kaptula, kwan anaenda kucheza gofu!!!
Hahahaha hahaha nadhani atakuwa wa Mkoani ndo kahamia Dar
Lkn lemutuz c yuko Dar lkn anavaaga makaptura makubwa?
 
Demiss kaamua kutudhalilisha toka jana anatusema wanaume. Sa mwanaume wa dar atachomekeaje tshirt kwenye kaptula, kwan anaenda kucheza gofu!!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mkuu jaman siyo kweli
 
Ni sawa na kulikuwaga mtangazaji wa radio free Groly alikuwa ana sauti nzuri yule dada siku namuona heeeeeee kidogo nikatae Mungu huyu hakupi vyote
Aiseee glory robson mm nilikuwa nampenda yule mtangazaji wa kipindi cha Asubuhi sjui kina kipengele cha Tano za motooo uwiiii anasaut nzur unipe jina lake nimgoogle
 
Back
Top Bottom