Mwaka huu mwanzon kuna kaka nilikua nachat nae fb! Me nipo mkoani ye yupo dar, akawa ananitumia picha zake nami namtumia zangu! mara paap kanitumia nauli niende dar nikamtembeleee, siku hiyo saa kum na mbili asbh kwenye upendo mtt wa kike safarini daslaam, bahat nzur me nilimtangulia kufika ubungo, kufika nje kuna mtu nikawa nasalmiana nae, mara nikamuona mkaka kaweka cm sikion huku anaangaza angaza, kucheki cm yng inaita nikajua ananitafuta mimi. jaman alkua tofaut na kwenye zile picha zake, mfupiii, yupo yupo tu (Mungu anisamehe) niliishiwa pozi , bac akaja tukasaimiana. ikabd nitafute sababu pale pale nikamwambia kuna mizigo nmeagiziwa na bi mkubwa nimpelee dogo udsm then ntakushtua nikshamalzana nae. Alikula block koote, kesho yake nikageuza zng kurud nilikotoka