Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Sitak uzi wangu ulambwee na mods maana hachelewi kuleta id mpyaaaaa
Twende wifi uhakika wa kutritiwa vizuri upo hata kama asipotuelewa[emoji16][emoji16][emoji16]nitakusindikizaaaa
Hana shida yule..mnaonana tu fastaVizuri. Wacha nimuombe JJ tuonane mla bata mwenzangu
Nimuombe nikuone weweHana shida yule..mnaonana tu fasta
mie niko Kilimanjaro sio mbali na kwakoKihonda kwa chambo Azimiooo
[emoji23] [emoji23] kumbe hana shida,,kaniruhusuNimuombe nikuone wewe
Hutanikimbia kweli..uje kunianzishia siled?Nimuombe nikuone wewe
Kukuanzishia siledi siwezi. Ila tegemea mchuno mmoja matata.Hutanikimbia kweli..uje kunianzishia siled?
AiseeeHebu tuanze na mimi tupeane uzoefu
Sawa akijibu unitag
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kuviziana ni balaaaaa
Sasa alikua na sura ya nani?
Pole na hongera mwaya, una mengi sana ya kuwasimulia wajukuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]safi sna dada wengine vituko vya maisha havijawahi kutuacha salama
GENTAMYCINE ushawahi kukimbia mtu???
Watu wabaya kweli [emoji23][emoji23]Huyo jamaa kanichekesha sana dah...