mikononyuma
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 641
- 600
Eeh bhana eeh!!!mpanti[emoji23] [emoji23]Hafu mwenyewe utakuta unasura ka tako la dreva wa semi trela za kwenda kongo + Vigimbi kama banio la sufuria (Mpanti)
Leta ushuhuda mkuu wa hii kadhia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aseeee ulichuma dhambi mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee nilishachezaga sna hio michezo , kuna sku moja nilikutana na manzi flani fb
Yaani mtoto ana jina zuri balaa na picha anazopost fb utasema huyu girl anaweza kupata u miss world
Aisee mtoto nikapanga kuonana nae sku nimebanwa
Mara paap mtoto kaelewa yy anakaaa ilala boma mm natokea kkoo
Bas nikamuelekeza lodge moja ipo maeneo ya ilala afike hapo si mda nitawasili
Aisee nilipofika ugwadu wote uliyeyuka mtoto ana sura ngumu yaan daah hata kufatana nae nilijiskia aibuu
Nikiangalia mwonekano wangu na alivy ni zaid ya kujidhalilisha
Nilimpa nauli ya bajaji fasta sjui hata nilimdanganya vip nilisepa nilienda kuvuta pumzi juu kwa juu
Daah ile siku sisahau anisamehe bure bure kama yumo humu jf
Sina mkuu...Leta ushuhuda mkuu wa hii kadhia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unachocheaa mkuu kama ulikuwepo kusindikiza mgegedomkuu ongea ukweli uwe na ugwadu umuache,? mi naamini mwanaume ule mguu wa tatu ukisimama hata chizi akae mbele lazima [emoji123]
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Sina mkuu...
Hakuna ambaye hajawahi kujuta mm sitak hata kukumbukaaa kwa kweli wanaume hawa ni shidaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unaweza kujuta. Mi nilIshawahi kukomolewa na shoga angu Bar sitakaa nisahau.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kasoro Demiss tu alikosa bahat ya kuliwa na US babyFoleni ya kuliwa na myuesie ni kubwa. Ukisema urudie na wengine tutakosa. Kwahiyo uliowala mara moja hawakuwa watamu eeh. Basi nanihii alikua mtamu eeeh. Yule yulee ulierudiaga
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]uwiiiiiii jaman akiii dunia haina usawaIla mm nilishakimbiwa,
Mwaka 2010 nikiwa olevel kuna jamaa kahamia shuleni kwetu darasa moja akitokea huko Sengerema,basi usiku akianza kuchati na demu wake wa huko alikotoka nikamuomba na mm aniunganishie akanipa namba nikapiga sound binti akanielewa,basi tukawa tunachati kila siku,ikatokea trip ya jamaa yangu kwenda kwao huko Sengerema Nyehunge kwenye sherehe baba yake alikuwa anastaafu ualimu,tukaambatana naye kumpa kampani,basi demu nikampa taarifa kwamba nakuja huko akafurahi hatari,tulipofika huko demu hakupatikana hewani kabisa mpk tunatoka huko,siku ya pili tangu tutoke huko akapatikana basi nikamzingua hatari kwa kunizimia simu,basi akaniomba sana msamaha akidai alifika mpk kwenye sherehe na akaniona kabisa kwa siku 2 mfululizo,sema alichohofia kwamba hatuendani hata kidogo maana mm nilionekana wa mjini sana,harafu nilikuwa napiga pamba sana akijiangalia yeye anaona kabisa nisingevutiwa naye ndy maana aliona heli tusionane,nikamuelewa maana sema ukweli tulijipanga sana tulikuwa tunapiga pamba sana,si unajua tena kule kijijini kwa kifupi ndy hvyo nilivyokimbiwa sasa sijui aliyoyanena yalikuwa ya ukweli au laa,lkn nilimpuuza kuanzia hapo.