Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Aseeee ulichuma dhambi mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Unamjua vizurii lakini [emoji23][emoji23]
Nitamjulia wapi miye namjua kwa maandishi tu nataman nikutane naye nitoke ndukiiiii[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unaweza kujuta. Mi nilIshawahi kukomolewa na shoga angu Bar sitakaa nisahau.
Hakuna ambaye hajawahi kujuta mm sitak hata kukumbukaaa kwa kweli wanaume hawa ni shidaaa
 
Na sura ya baba usisahau ipo pia
Hapo mwenzio ameshavuta mahisia unafanana Rihhana siku akikuta Asha boko ndo ndukiii zinaanza[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Foleni ya kuliwa na myuesie ni kubwa. Ukisema urudie na wengine tutakosa. Kwahiyo uliowala mara moja hawakuwa watamu eeh. Basi nanihii alikua mtamu eeeh. Yule yulee ulierudiaga
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kasoro Demiss tu alikosa bahat ya kuliwa na US baby
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]uwiiiiiii jaman akiii dunia haina usawa
 
pale karibu na islam bus zamani,

yaan wanazunguka kweli, wenyewe wadau wa mtumba wanajua ratiba zote, mana lile soko kubwa lishafungwa[emoji23]
wapo ktk ujenzi mpya wa kisasa [emoji23]
Ooooh aisee nikija moro tutafutane
 
Nimempata mwenzangu ambae tuliwai kukimbiwa, jaman kama kuna mtu alikimbiwa aje atupe nguvu sis wahanga wa kusema kwel
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]akii sikutegemea kabisa haya mamboooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…