Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Hahaha pole sana na Hongera kwa kuEscape from Sorbibo. Lini unaenda Dom mkuu tukategeane sasa wew na mim pale Square
Mimi nipo dom mkuu karibu tuvheze game of throne [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kukimbiana day
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umenichekesha nikakumbuka jinsi nilivyokuwa namuuza mtu halafu unamchungulia anavyohangaika uwiii
Yan dada unakaaa sehem unakuwa unamchora tu kukutana na mtu usiyemjua ni mtihan tena ule wa Math
 
Mimi nipo dom mkuu karibu tuvheze game of throne [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kukimbiana day
Thats Good. Tar7 mwez wa5 ntakuwa hapo kutoka Moro. Be Prepared
 
Yan dada unakaaa sehem unakuwa unamchora tu kukutana na mtu usiyemjua ni mtihan tena ule wa Math
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ni mtihani usiokuwa na msahishaji, mie kuna dada alinambia kuna kaka yake anatafuta mchumba, nikamjibu kwahiyo umeiona mimi nafaa kuwa na kaka yako? Kaitika ndiyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kapanga siku ya kuja naye na muda mwenyewe nipo kazini kwa machale nipo ofisi ya pili ile nawaona kwa mbali mie kona [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nawasikia si tumemuona hapa au katukimbia awiii mchumba yupo na suit ya maziwa na miwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawakurudi tena
 
Thats Good. Tar7 mwez wa5 ntakuwa hapo kutoka Moro. Be Prepared
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]naaanza mazoez ya kukimbia mjin mpaka UDOM
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ukakutana na mtu ndivyo sivyooo akiii hata mm nisingekubali kama ndo hivyo ukawaachia manyoaaa tu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]naaanza mazoez ya kukimbia mjin mpaka UDOM
Hee? Kwan naww ni Mbonge kama nlomkimbiaga? Ila ata ukiwa bonge sahivi nmekuwa mkubwa sana tu nmerefuka af nna mwili kias chake.
 
Kule nako hata ukiwa na mtu wako akiwa mbele kidogo huku mitongozo kama kawaida
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo maisha yenyewe haya tunapita vituko ni baadhi ya mojawapo ya maisha ili yasonge mbeleee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…