1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
sasa mguu wa 3 ukichechemea[emoji23] [emoji16]Ukuje bwana ukule kwa macho ujionee cinema ya bure
HahahaLeo ongeza umakini zaidi katika kuzoom
Anataka durex si sizitumiagi. Hapo ndo tunaposhindwanaMm na wewe hatuwezi kukimbiana ila usimkimbie sana ndugu yangu mpaka anajisikia vibaya
HayaHahah!! Asante sana
usiniambiye kama hukunyoosha goti mkuu [emoji16] [emoji23]Juzi kati tuu nimefunga safari mpaka Bagamoyo huyu binti nlikutana nae kwenye Daladala enzi hizo nasomaa.. Miaka imepitaa ndo nkaona so mbaya nkaonane naee.. Walahiii nlijutaa hata nauli yangu iliniuma sanaa yanii sanaaa...!! Manzi nahisi kipindi kile nlimuona vibaya au sijui ilikuwa ni ugumu.. Mrefu...mweusii...kapigwaa pasi balaaa..yanii
Sasa mm ninacho cha kukupa jamaniKhaaaa
Mimi huyooo!! Hebu nipe tuu aki
Alikuwepo hapana ghafla tu kapoteaYuko wapi jamanii
Likikuchomoka si unakwenda kupambana na hali yakosasa mguu wa 3 ukichechemea[emoji23] [emoji16]
laweza kunichomoka pyuuuuu[emoji23]
Haaaa haaaa nilikaa hapo miaka 2 tu nikaondoka lakini napapendakumbe nawe wa ukaye
tabu yote ya nn, sijiLikikuchomoka si unakwenda kupambana na hali yako
Kama anakukimbia njoo kwangu plzDemiss umenichekesha hadi nmelia, eti kavaa likaptura likubwa kachomekea na litisheti, huishagi vituko jamani, mm huwa siwakimbii kabisaaa ntamuona nitasalimiana nae halaf namwambia bahati mbaya nmepata dharura sitaweza kukaa sana , nkitoka hapo nablock kila kitu ,sema labda wao ndo wananikimbiaga hahahahahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hali ya hewa inavyoruhusu sasatabu yote ya nn, siji
acha mkuu akutawanye tu
joks[emoji23]
Duu jamaniJuzi kati tuu nimefunga safari mpaka Bagamoyo huyu binti nlikutana nae kwenye Daladala enzi hizo nasomaa.. Miaka imepitaa ndo nkaona so mbaya nkaonane naee.. Walahiii nlijutaa hata nauli yangu iliniuma sanaa yanii sanaaa...!! Manzi nahisi kipindi kile nlimuona vibaya au sijui ilikuwa ni ugumu.. Mrefu...mweusii...kapigwaa pasi balaaa..yanii
kutoka kulee matombo,kiloka, n.kKabisaa sema moro kuna matundaa balaaaaaa