Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Haaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani watu mnamaneno ungeongea naye hata ukamdanganya tu, je kama hakuwa na nauli ya kurudia, leo nimejua ndiyo maana watu wengine huomba nauli za kurudia kumbe mambo yakukimbiwa hayo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ilikuwa mchana/jioni, nilikuja kuona msg yake usiku baada ya kuwasha simu, nikamdanganya kuwa nilikwapuliwa simu na nikamwambia ndio nimejitahidi kurenew siku ile. Nikazuga kumuuliza kwani hukuona nakimbiza mwizi. [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hiyo ilikuwa mchana/jioni, nilikuja kuona msg yake usiku baada ya kuwasha simu, nikamdanganya kuwa nilikwapuliwa simu na nikamwambia ndio nimejitahidi kurenew siku ile. Nikazuga kumuuliza kwani hukuona nakimbiza mwizi. [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hahaaha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mjini shule si kushangaa maghorofa unaweza jikuta unakutana na mbabu na mkongojo ukashindwa hata kuzimia ukabaki umesimama wima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo yakukutana na mtu usiye mjua duu mie naigopa sana sipati picha ulivyokata kona nyuma geuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
doooohhh mi sijawahi kukimbiwa ila niliwahi kimkimbia dada mmoja hv......tumejuana kwnye mitandao bs tukapanga tuonane stend kuu mbeya......Bwana weeee........mtu mzima siku hyo nimeoga sanaaa yn jisugua visigino haswaa........nikafuta kiatu changu freeeesh kabisa.......

Yani ilikua lazma nifanye hvo mana mtoto anasema anaishi forest mpyaa bwana......

Nikajiandaa na kawallet kana kama 80 elfu hv kwa ajili ya kwenda kukaa nae maeneo flani mwanana kabisa.
Ebwana weeee......siku nikasema nikipanda daladala toka hapa kabwe mpka stend kule watanichafua.....

Mtoto wa kiume nikakodi kabajaji bwana peke yangu mpka stend.
Bs nilitangulia mm kufika huku yeye akidai ndo anapanda gar pale mkoani anashukia meta then pale anadaka gar ingine mpka stend....

Jamani yule dada anasauti nzuri mpka leo sijawahi kuona...yan ilikua tukiongea kwnye cm dk 5 tu mi tayar dushe imesimama chwaaaa....

Sasa sku hyo mara simu inaita.....""Hello my mi ndo naingia stendi hapa nimepanda gari imeandikwa nanii"""

Haaa yn kuskia hvo aisee nkasema kweli Mungu hamtupi mja wako aiseee.....Yn mtoto wa uswazi leo naenda kubeba bonge la totoooo tena la ushuani.......aaaahhh waniache....

Basi Macho yote kweny lango la stend kuangali gari inayoingia huku nikiwa na taadhari kwamba nihakikishe mim ndo niwe wa kwanza kumuona. Lakn sikuwaza kwamba akiwa m'baya nikimbie bali niliwaza yn akiwa mzuri sana kupita kias na kapendeza kias cha kwamba hatuendani basi nazama mitini mwenyewe na laini natupa.

Mara naona gari inaiingia....moyo unanidunda fasta hapo...mara imesimama...
watu wanaanza kushuka taratibu....kiukweli mpka wanaisha skuona hata mmoja wakuendana na ile sauti....nilikua nimejibana chobingo flani hv ikabidi nijisogeze kdgo karibu na gari ila kwa style flan yn kama vile na mm ni konda pale....

Mara cm yangu mfukoni inaita...bahat mbaya niliweka mlio...bs pale ikawa inaskika cm yangu tu...nikajaribu kuzuga mama mmoja akauliza"" jaman sio simu yangu inayoita"" konda akadakia "" hapana sio yako ni ya huyu broo hapa"" akionesha kidole kwangu.

Basi watu wote wakageuka kwangu macho waaaaaa......!!!
Nilivokauzu nikasema hapana haiiti ni meseji inaingia...
Sasa bhana kumbe yule dada amekaa pembeni ananichora kama ni mm au lah mana nilipoongea sauti yangu akawa ameistukia.....akapiga tena...hahahahahahaa weeeeeeee cm hyo ikaanza kuita.....sasa mimi ile kuangaza nikajikuta nimegongana macho na sura moja hiv hata nikisema ni yakiume ntakua nimewavunjia wanaume heshima.....
wanaume wazur bhana......

nisiongee sana ila yule dada nilimkaushia kabisa pale tena nikajifanya mkatisha tiketi pale kabisaa nilivopata upenyo dk 6 tu nikawa nipo gheto kwangu sebuleni nachek zangu muvi na laini nshaitupa njiani..
Nimecheka hatari
 
Kuna tayari mtu analala na mamba humu?
Tehteehhh.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kuchamba kwingi huku, kutatufanyanga tushike na amoeba.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mimi sijawahi kumkimbia mtu. Ila huwa nabadili direction kama nikiona matarajio yangu si sahihi. Tutaishia kuwa marafiki tu
 
Imenitokea juzi tu nilikutana na Dada moja usiku ni kamwona kama yuko poa kiaina nikachukua namba yake nikiamini itanifaa siku nikiwa na ukame
Juzi nikamwita bana kesho tuonane hotel ...... Eeeeee bana ee si akaja ile kumwangalia vizuri uwiiiiiiii
Ikabidi nizuge tu kama hamna neno nikanywa na juice tukagonga na msosi nikazuga nina kipolo ofisini sijakimaliza ikabidi tutawanyike
Heeeeee tokea hapo nina wiki ya pili sijamtafuta
Juzi kanitumia kameseji "nini kimeharibika best" nikamjibu aise nipo safarini nikirudi ntakujulisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sitakagi ujinga [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
niwekee pasi murua ninyooshe msuli [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji16] [emoji23] kwani ni under 18,, naskia uteleeeeeez[emoji16]
Ndio ni under18 mzee baba.
Ukitaka hata namba nakupa na username Facebook nakupatia bure kabisa.[emoji3][emoji3][emoji41]
 
Back
Top Bottom