Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kumbee usiku ulikuwa na mawenge ausio
 
Ndio ni under18 mzee baba.
Ukitaka hata namba nakupa na username Facebook nakupatia bure kabisa.[emoji3][emoji3][emoji41]
hayo ndo maneno mzee baba, hiyo ni kama GG imetoa, hakika mkeka unapumua,,
 
Toka umenitukan kwenye comment naomba nikufungie vioo hii ndo comment ya mwisho kukuqoute utanisamehe kwa hilo.

Nilkuwa nakuheshimu ila sasa hapana
Mbona mm sijatukana. Toka jana naona unaniambia hivyo hadi nashangaa.

Ila utakavyotaka poa.
 
Si kwenda kwenda tu, ukichagua mwenyewe huna wa kumlamu
nikupambana tu mpaka kinaeleweka
Hiyo ya kuchagua mwenyewe unaweza chagua koromaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hii thread imenichekesha, ila mimi siwezi kumkimbia mtu naona si ustaarabu.
 
ukisoma hapa unaweza sema demu anayesema hivyo mkali kumbe wakawaida mno...sema kweli jicho lako limekaa kutianatiana...hyo chura cjui nini nyingine mbwembwe.fanya mazoezi upunguze nyonyo.
Asanteeeee kwa kunipaishaa kuwa nina jicho la kimahbaaa mweeeh asante sana ila kwenye nyonyo umekosea mm nina nyonyo konzi mpaka huwa naweka mapera kuongeza liwe kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…