Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha Mimi Leo nasoma nacheka tuu.
Kwa hiyo haukula mzigo?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaka upo lakini salama jaman?

Nipo kabisa. Nimeshajihakikishia kabisa kukimbiwa na wewe. Au ndio mimi nilikuibukia Moro? Hahahahahaaa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]DJ sepetu umejua kunichekeshaaaa sana leooo akiiii
 
Mimi sikimbii mtu asee,
ila Turnoff yangu mwanamke awe mnene na maziwa makubwa,tutaishia kupiga story tu..
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mkuuu vumbii kama moshi wa rocket huo aiseeeeee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachungulia kwa mbaaali
Inaitwaa style ya kinyonga kukamata wadudu au vileee paka anamviziaa panyaaaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…