Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Nipo WhatsApp group uko kuna mabint wanasaut tamu lain kama hawali mboga za majan aisee yan saut tu mwil una vibrate
Lakn nikikumbuka mikasa ya huku wengi mlipotea wa hizo saut naishia kucheka tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Nipo WhatsApp group uko kuna mabint wanasaut tamu lain kama hawali mboga za majan aisee yan saut tu mwil una vibrate
Lakn nikikumbuka mikasa ya huku wengi mlipotea wa hizo saut naishia kucheka tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Lazima ukimbie [emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unazani uongo kukutana na usicho tarajia, ubongo na macho vikiungana kinatoka kitu
safi sasa ghafula paa ni mbio hizo Mr
Haa haa Mrs unanikumbusha
DSM aiseee tabata na kino[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Haa haa Mrs unanikumbusha
DSM aiseee tabata na kino[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ni shida, Kama unaenda kutana na mtu asiyejulikana lazima uwe na nauli ya
kurudia nyumbani [emoji16][emoji16]hizo mbio je huna nauli unaumbuka
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ni shida, Kama unaenda kutana na mtu asiyejulikana lazima uwe na nauli ya
kurudia nyumbani [emoji16][emoji16]hizo mbio je huna nauli unaumbuka
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dunia ina vituko hii
 
Mwendook kama bomu la Iroshimaaa bahhahahaha
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kwahiyo huyo mtu wako alipoenda kumtoa hajaulizwa upo wapi jamani vibaya hivyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] wachimba madini wanaita kimbotela [emoji23][emoji23][emoji23]
Kimbota ndo nn?
 
Katumika sana may be 9ᵀᴴ Hand [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]khaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…