Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Tena mm kama mwanaume simpend huwa sipokei hata simu yakeee nikipokea naiweka kwenye kwapaaaa kidogo alafu ndo naongeaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe sikuwezi kabisa
 
Ukiandaliwa funguo ya gari na hati ya nyumba je unge kimbia kwa yule wa kwanza mwenye likaptula?!
Haaaa haaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti mwenye likaptula uwiii kama ni mtu maslahi sawa
lakini kama unatafuta haja ya moyo havina dhamani kabia
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe sikuwezi kabisa
Fire [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Haaaa haaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti mwenye likaptula uwiii kama ni mtu maslahi sawa
lakini kama unatafuta haja ya moyo havina dhamani kabia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…