Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Balaaaaa tunalala tunaotaaa makapturaaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nakumbuka kuna kaka 1 primary alikuwa nalo kubwa hilo yaani kwa kipindi kile ningeshona gauni lakuvuta rinda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kucheka sasa unachekea pembeni maana yule muraa angeweza kutoa mtu kinyesi black mpaka macho.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Lazma unayayo umuumbue mtu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unakutana na kimtu kifup kama kibwengooo kwenye sm alikwambia mrefu unasemaaa Ewaaaah mm napendaga watu warefu sku mkikutana lazimaaa ukimbieeeee
 
Mara ya kwanza nilisikia nikiwa sec.nilichekaje hilo jina[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanaokaaa karibu na migodiiii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]wana misemoo hatar
 
Back
Top Bottom