Kama treni za kutumia kuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sipat picha ningekuwaa naendesha kispashooo ningekimbia mpaka kipate motooo ukifika home unasimama unakimwagia maji kinafukaaa moshiiii
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umri ukifika mambo yanajiseti, mbona kina Mr hatukuwakimbia [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Unaaanza kuomba upate hata chiziii anatoshaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji4]
Chagua chagua ya mtumban inaishaaaa inaexpire date
Umenikumbusha mwalm wangu wa sekondary huko Dar aiseeee alikuwa anavaaa suruali kubwaa nikawaaa nawaambia darasan hii suruali ya Teacher wa Bios kipind hicho tunasoma topic ya Genetics aisee akiingia mm kicheko nasema naweza kutoaa sket zangu 4 maana nilikuwa navaa rinda boksi.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nakumbuka kuna kaka 1 primary alikuwa nalo kubwa hilo yaani kwa kipindi kile ningeshona gauni lakuvuta rinda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kucheka sasa unachekea pembeni maana yule muraa angeweza kutoa mtu kinyesi black mpaka macho.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ukiwa teacher ni kukubali yoteUmenikumbusha mwalm wangu wa sekondary huko Dar aiseeee alikuwa anavaaa suruali kubwaa nikawaaa nawaambia darasan hii suruali ya Teacher wa Bios kipind hicho tunasoma topic ya Genetics aisee akiingia mm kicheko nasema naweza kutoaa sket zangu 4 maana nilikuwa navaa rinda boksi.
We acha tu, usiombe kukutana na kitu usichotarajia[emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaa haaa jamani maisha ya mapenzi safari ndefu sana
Lazima ukimbie maana unakuwa umeeunda taswira tofauti sasa ghafula paaWe acha tu, usiombe kukutana na kitu usichotarajia[emoji1] [emoji1] [emoji1]
😀😀😀😀😀 na ukute anaowachamba wako humu humuNamuhurumia sana huyu member wa Jf mwenye anakumiliki wallah, maana sio kwa michambo hii.... tehteehhh
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] inawezekana wakawa humu humu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]😀😀😀😀😀 na ukute anaowachamba wako humu humu
Kuna mmoja alinambia at yy n mweupe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unakutana na kimtu kifup kama kibwengooo kwenye sm alikwambia mrefu unasemaaa Ewaaaah mm napendaga watu warefu sku mkikutana lazimaaa ukimbieeeee
Sana tu mbona? Na wanajiona mabwege sna hapo walipo. Online dating na wadada ambao hamjaonana face to face ni stupid sana sometimes.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] inawezekana wakawa humu humu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ungevumilia tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mmoja alinambia at yy n mweupe
Heee Sasa acha nijisogeze.
zang kinondon mkwajun haa haa
Nlibak tu nmeduwaa nlichokiona
Maajabu ya duniaSana tu mbona? Na wanajiona mabwege sna hapo walipo. Online dating na wadada ambao hamjaonana face to face ni stupid sana sometimes.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ungevumilia tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]