Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nlivumilia nkashindwa nkadandia
Zang bodaboda nkaenda zang leaders club
Maana hyo sku ilikua n ya fiesta

Nkamwambia nachelewa fiesta
Tuonane kesho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kesho ikawaa mazimaaaaaa
 
Kuna mdada nilikutana naye mjini....katika tizama tizama macho yetu yakakutana nami nikaingiwa na haja ya kutongoza. Nikampa demu somo naye akaingia line, siku ya siku tukapanga kukutana sehemu kabla ya kwenda chemba kuwatambulisha dushe na kipochi manyoya wazoeane. Demu kaja, ananuka makwapa kama vile alioga ndoo ya mavi...ile harufu tu iliua hamu yote ya kutaka kugegedana licha ya uzuri wake. Nikamnunulia chakula, ile anaanza kula tu nikaenda chooni...sikurudi tena na line nikaitupa. Sijuwi yaliyomkuta yule demu. Wanawake wanaonuka bwana ni majanga matupu, utaona mwanamke mzuri ila hajipendi na mwanamke akinuka kwapa basi juwa hata ile idara si salama.
 
Kwahiyo mkaendeleza mahusiano au ukaoa kabisa!?[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Niowe wap baada ya kuachana pale ikawa ndo mwisho wa mawasiliano mm nilichofanya nili play part yangu as gentleman ckutaka kuumiza hisia zake kujiona hana thaman duniani maana inapaswa kupenda na kupeana moyo ktk nyakat ngumu kama hizo
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mie naona bora kuongea ukweli mie shot black, bonge ya mpua , subili tuonane[emoji10]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haa haa haa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Majina lazima wapewe tena mengi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mpaka vumbi debe tulikuwa naye
Ss tulikuwa na kinyonyoki sababu hana nywele vizur kalikuwa ka madamu
 
Walaaaaah huyo n kama
Alikua mjaluo kabsa maana
Co Kwa weus ule af alikua
Mhehe

Saut Sasa yan ndo ilifanya
Nitake kumuona dhaaaa
Mtt saut Sasa akiongea
tu jogoo anawika
Sauti haifanani na suraaaa kwa kweli
 
Alilala na rasta zakee ukadhani jini limefufuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…