Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho ikawaa mazimaaaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nlivumilia nkashindwa nkadandia
Zang bodaboda nkaenda zang leaders club
Maana hyo sku ilikua n ya fiesta
Nkamwambia nachelewa fiesta
Tuonane kesho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mpaka leo cjui yuwapKesho ikawaa mazimaaaaaa
Ulale unonoUsku mwemaaaaa
Niowe wap baada ya kuachana pale ikawa ndo mwisho wa mawasiliano mm nilichofanya nili play part yangu as gentleman ckutaka kuumiza hisia zake kujiona hana thaman duniani maana inapaswa kupenda na kupeana moyo ktk nyakat ngumu kama hizoKwahiyo mkaendeleza mahusiano au ukaoa kabisa!?[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Alilala na rasta zakee ukadhani jini limefufukaKuna binti mwengine nilimpata usiku mmoja [emoji13] [emoji13] mzuri, kaumbika Mashallah, but kwenye 5 x 6 nilimfunua nimekuta ana dreads si dreads rasta si rasta, then hazieleweki kama ni rasta za bob marley au peter tosh, nilimkuta na vouz kama inchi tatu (3")[emoji13] [emoji13] [emoji13] nilitoka mbio nikamuacha guest, sijui kama alilala mpaka asubuhi au aliondoka usiku ule, sijui! [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
MorningMambooo