Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

naona huu uzi umejaa ma HB na WAREMBO, kila anayekoment aliishia kumblock mhusika,,, wekeni picha tuwaoneee,, mana sio kwa kujisifia uko, [emoji23] [emoji16]
Kwani nani huwa anajiona mbaya ,,hata huyo alieblockiwa nae kuna mtu kamblock pia
Na kumkimbia mtu sio kwamba wewe eti ni mrembo au hb hapana kabisaa
Kuna siku wanaume walileta uzi wa hivi weeeeee utafikiri waliokoment mle ni kina wiliam levy au yule kaka Majid
Ni asili ya binadam
 
Mimi pia imewahi kunitokea, kuna kipindi kilikuwa kinarushwa Radio one cha Darfriends nikapata marafiki wengi sana. Basi kuna rafiki yangu mmoja akaniambia atakuja kunitembelea kazini kwangu Maeneo ya Jengo la ushirika Dar, siku ilipofika nikaenda kumsubiri Mnazi mmoja stend mara namuona kaka mmoja meno yako nnje kakaa kisela balaa ananipigia asimu nikataka nisipokee mara akawa ananisogelea akajua ni mimi maana simu inaita akaanza kujichekesha mate yanaruka balaa.

Basi nikaondoka naye hadi kwenye kimgahawa maana ilikuwa mida ya lunch nikanunua chakula tukala anaongea huyo balaa mara ooh uje kunitembelea Mwananyamala nikupeleke beach, mwenzie huku najiuliza atamaliza saa ngapi aondoke? Alipoondoka tu nikadelete namba yake na akawa ananipigia sipokei hadi akachoka. Yaani niliboreka balaaa hadi leo marafiki wa kwenye mtandao sitaki kabisaa.
Weee marafiki wa kwenye radio magazet mitandao yataka moyooooo ujiandae kisaikolojoa
 
Kwani nani huwa anajiona mbaya ,,hata huyo alieblockiwa nae kuna mtu kamblock pia
Na kumkimbia mtu sio kwamba wewe eti ni mrembo au hb hapana kabisaa
Kuna siku wanaume walileta uzi wa hivi weeeeee utafikiri waliokoment mle ni kina wiliam levy au yule kaka Majid
Ni asili ya binadam
so mmelipa hahaha[emoji23] [emoji16] [emoji23]
 
Kuna bonge alinitoaaa nyumban mpaka kigamboni eti pametuliaa alikuwaa na maneno mengi na kujisifiaa balaaa basi bwana tukafika kigmboni jamaa kajikoki mbayaa kufika chumbani nikaonaa aibu mm nikasema poaa tu ajali kazini.......bwana weee sisemi uongo mtoto wa kike nikaanza kazi zangu nilizofundwa ile najaribu kuweka hako kafilimbi kake mdomoni haooo wazungu kuanziaa hapo mpaka naondokaa dudu lilikuwa limelala na nilimfanyiaa yote lakin wap.....kuanzia siku hiyo mabonge na mm ni paka na panya
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unatafuta ugomvi na mabongeeeee
 
Mi nishawahi kumkimbia dem mmoja pale kituo cha usalama magomeni.. huyo bidada nilipewa namba na rafiki yake ambae ni rafiki yangu pia.. kipindi hicho niko mwaka wa kwanza udsm.. basi akasema tukutane usalama saa 7 mhh ikabidi mimi ndo niwahi nikaandae mazingira.. kwel fasta nikawa nishafika nikavuka barabara nikatulia upande wa pili ili nimtazame vizur kama kimeo nirud zangu mabibo hostel..
Kweli bwana nikaona kimtu kifupi kipo na mwenzie sasa yule mwenzie ndo mzur.. cha kushangaza yule mbaya ndo ananipigia simu.. af mi brothermen tena nna mihela ya boom hapo.. nilivyoona kakomaa kupga simu nikala daladala za ubungo nikasepa.. alipga simu mpaka bas
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kumbe na we mbaya eeh
 
Kubali upo cheap
Hata kama ni jukwaa Gani
Lakini ki uhalisia upo hivyo
Mwanamke aliyefundwa kwao akafundika
Hawez kuwa cheap hivyo.yaani mtu humjuh hata kuonana naye ujawahi anakutongoza Na unamkubalia
Duh inamaana angekuwa kakizi mngedate
Acha kucomplicate maisha, tafsiri yako inaweza isiwe tafsiri ya dunia. Feelings hazina macho.
 
Back
Top Bottom