Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Yeaaah mm sijulikan mikoa yoteee nimekaaaa
Nakumbuka vizuri either mimi nilikukimbia au tulikimbiana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeaaah mm sijulikan mikoa yoteee nimekaaaa
Kama siled hamna basi mimi sina shida kabisaKukuanzishia siledi siwezi. Ila tegemea mchuno mmoja matata.
Jamaniiii usiwe unaogopa unene [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asante kwa storyYap tena pale Mwenge ilipo ile Tarakea Restaurant ambapo nakumbuka nilimtongoza Demu mmoja kutoka FB baada ya kuvutiwa nae katika Picha yake kisha tukapena mawasiliano huku nikimtongoza. Tukakubaliana kuwa eneo sahihi la kukutana liwe hapo Mwenge na nakumbuka kipindi hicho Kituo cha Mabasi kilikuwa bado kipo hapo hivyo kuwa rahisi Kwetu Kiusafiri.
Nikiwa kabisa katika bashasha na mshawasho wa Kukutana na Demu niliyemtunuku / niliyempenda mara nikaona anatokea Mwanamke ambaye kwa ule Weusi wake ' uliomtukuka ' sidhani hata kama Usiku ningekuwa nalala nae ningekuwa ninamuona Kiurahisi halafu alikuwa ni Mnene mno kiasi kwamba nikawa nawaza wakati nambandua / namngono kwa unene ule angenipa Kazi kubwa sana ya Mimi kuanza kuitafuta ' Mbunye ' yake ilipo na Kuuchomeka ' Mkuyenge ' wangu wote na uzame kisawasawa ' Kunako ' na ausikie hadi Kichogoni mwake na nilikuwa naogopa pia kwamba kama ningekuwa nafanya nae Mapenzi Kitandani halafu namwomba anikalie juu ( anyonge Baiskeli ) bali kwa ule ' Uzito ' wake leo hii ' Mkuyenge ' wangu ungeshakuwa Marehemu kama siyo Hayati.
Baada ya kugundua kuwa mwenye namba na niliyekuwa nawasiliana nae FB ni Yeye ila aliamua tu kutumia Picha za Watu wengine kama kawaida yangu huwa simcheleweshi Mtu na sinaga ' Unafiki ' halafu mshipa wangu wa aibu ulishakatwa zamani sana Agha Khan Hospital Wodi ya Uzazi ' miongo ' mitatu na nusu iliyopita hivyo pale pale nikampigia Simu na kumwambia kuwa tangia nizaliwe sikuwahi kukutana na Mwanamke ' mbaya ' kama Yeye hivyo simtaki na aifute namba yangu pale pale na kilichofuata nilijibiwa kwa bonge la ' Tusi ' na ' Msonyo ' mrefu ambao kama ningeupima kwa Kamba basi ungetoka Dar mpaka Kigoma na pale pale nikazima Simu yangu na kutafuta line mpya ya Simu na nakumbuka Kipindi hiko kulikuwa na Kampuni ya Simu ya Celtel ambayo nilikuwa nikiitumia.
Ni hayo tu Dada yangu.
Umesema nywele zake kipilipili nimekua offended [emoji23][emoji23]Mwaka huu mwanzon kuna kaka nilikua nachat nae fb! Me nipo mkoani ye yupo dar, akawa ananitumia picha zake nami namtumia zangu! mara paap kanitumia nauli niende dar nikamtembeleee, siku hiyo saa kum na mbili asbh kwenye upendo mtt wa kike safarini daslaam, bahat nzur me nilimtangulia kufika ubungo, kufika nje kuna mtu nikawa nasalmiana nae, mara nikamuona mkaka kaweka cm sikion huku anaangaza angaza, kucheki cm yng inaita nikajua ananitafuta mimi. jaman alkua tofaut na kwenye zile picha zake, mfupiii, yupo yupo tu (Mungu anisamehe) niliishiwa pozi , bac akaja tukasaimiana. ikabd nitafute sababu pale pale nikamwambia kuna mizigo nmeagiziwa na bi mkubwa nimpelee dogo udsm then ntakushtua nikshamalzana nae. Alikula block koote, kesho yake nikageuza zng kurud nilikotoka
Info kama hizo haziwwkwagi wewe..yan hiyo wanabakigi nazo tu kwenye mioyo yaoHakuna hata mmoja aliwahi kukutafuna?
Mmmmh mchumbaNakumbuka vizuri either mimi nilikukimbia au tulikimbiana.
Weee upo cheap bhnaaaOooh umeona hapo kwamba amenitongoza naomba uvae miwani ukasome tena uzi wangu alafu ulete ushaur wako hapaaaa mxeeew usinitibueee
Siledi siwezi kabisaKama siled hamna basi mimi sina shida kabisa
Kwahiyo nikikupenda nikakukubali niko cheap mteja wangu?Weee upo cheap bhnaaa
Tena siyo wewe tu wanawake wengi mmpo cheap
Wanaume tunawadanganya kwa vitu vidogo na mnaingia line!
Halafu kuwa mwanamke mwenye busara unaweza bishana Na me kwa kawaida siyo mpaka tudharirishane kwa kuitana majina ya ajabu na matusi kama hiyo mxeew
SIJAPENDA
[emoji23] [emoji23] [emoji23]tena mbaya kuliko hata mchupi wetu ulee
Mmmmh mchumba
DuhMwaka huu mwanzon kuna kaka nilikua nachat nae fb! Me nipo mkoani ye yupo dar, akawa ananitumia picha zake nami namtumia zangu! mara paap kanitumia nauli niende dar nikamtembeleee, siku hiyo saa kum na mbili asbh kwenye upendo mtt wa kike safarini daslaam, bahat nzur me nilimtangulia kufika ubungo, kufika nje kuna mtu nikawa nasalmiana nae, mara nikamuona mkaka kaweka cm sikion huku anaangaza angaza, kucheki cm yng inaita nikajua ananitafuta mimi. jaman alkua tofaut na kwenye zile picha zake, mfupiii, yupo yupo tu (Mungu anisamehe) niliishiwa pozi , bac akaja tukasaimiana. ikabd nitafute sababu pale pale nikamwambia kuna mizigo nmeagiziwa na bi mkubwa nimpelee dogo udsm then ntakushtua nikshamalzana nae. Alikula block koote, kesho yake nikageuza zng kurud nilikotoka
Nilijua kweli ninuneMchumba natania bana.
Ila kwa niini unanikimbia?Mpaka umepita hapa na wewe malaya
Ndo hapo sasa unamkuta binti yuko so decent hadi unaona haya kutangaza sera na ilani ya moyo wako siku ya mtoko wa kwanza..kinywaji ataagiza mirinda nyeusi ila siku atakapoenda kibla maweeee...pango la Amboni,mileage zinasoma Zimbabwe jiulize sasa!Info kama hizo haziwwkwagi wewe..yan hiyo wanabakigi nazo tu kwenye mioyo yao
Nilijua kweli ninune
Mwambie huyo kiben 10 wako nitam bashite sasa hivi. Ataanzaje kuita mali za watu mchumbaNilijua kweli ninune
Una namba yake ama unaturusha tu roho hapa unashika mapembe?Hata kama kweli nisingeandika...
Natafuta wa kuchokoza tu hapa.
Whatsapp nakuja.
Hahahahaa wewe bi mdada upo?Kwahiyo nikikupenda nikakukubali niko cheap mteja wangu?
Mwambie huyo kiben 10 wako nitam bashite sasa hivi. Ataanzaje kuita mali za watu mchumba