SWALI: Je, Una imani na Ujuzi wa Kitaalamu wa watoa huduma za Afya Tanzania?

SWALI: Je, Una imani na Ujuzi wa Kitaalamu wa watoa huduma za Afya Tanzania?

Je, una Imani katika ujuzi wa kitaalamu wa watoa huduma za Afya Tanzania?


  • Total voters
    5
  • Poll closed .

Azathioprine

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
589
Reaction score
376
Habari wadau wa JF?
Naamini wengi wetu tumeshawahi kupata huduma za afya au kuwasindikiza ndugu/rafiki wa karibu kupata huduma hizo. Nina swali kwako, tafadhali karibu kulijibu kulingana na uzoefu wako kwa mtoa huduma wa Afya uliekutana nae mara ya mwisho kabisa.

Pia, unaweza kuchangia chochote ambacho haukukipenda kutoka katika uzoefu huo. Ukiweza kufanya hivyo bila kutaja kituo cha afya itafaa zaidi ili tuweze kujifunza na kuboresha kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom