nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Acheni kudanganyana nyie kunguru wa mikoaniAmewafikiria wanaume wa Dar. Rijali wa Dar mwisho bao 3 tu na hapo kesho hawezi kwenda kazini. Analala kutwa nzima. Midume wa mikoani hununua paketi hizo 3 yaani ndomu 9 na anatumia zote. Kesho anashika jembe balaaaa!
Kondomu zenyewe hamjui matumizi yake ndio maana hata maambukizi ya vvu yapo juu sana huko.
Labda mnanunua tisa kwaajili ya kupuliza mpambe kwenye happy birthday zenu