GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Habari..
Nina gari yangu ndogo ambayo ninalipia road licence tsh 50,000/-. Kwa sasa road licence yangu imeisha mwanzoni wa huu mwezi wa sita, nimepanga kwenda kulipia mwezi wa saba. Budget juzi ilivyopitishwa,imepandishwa mpaka laki moja, Sasa ninauliza nikienda kulipa mwezi wa saba watani charge alfu 50 au laki moja??
Nina gari yangu ndogo ambayo ninalipia road licence tsh 50,000/-. Kwa sasa road licence yangu imeisha mwanzoni wa huu mwezi wa sita, nimepanga kwenda kulipia mwezi wa saba. Budget juzi ilivyopitishwa,imepandishwa mpaka laki moja, Sasa ninauliza nikienda kulipa mwezi wa saba watani charge alfu 50 au laki moja??