Asante kwa elimu hii nimejifunza kitu hapa maana nilikuwa nasita kufungua jf kwa kuwa kila habari in Ukawa Lowasa na Ccm
What is your point ?!
If you have failed to understand my question, it is better you keep quiet for the point is very clear in my question.
kuna mtu alisalimika kweli hapo? duh
The historic event.
Hivi Marekani wamemaliza kulipa deni lao la hili bomu kutokana na maafa waliyosababisha?
Ni pesa kiasi gani inatosha kulipia hayo maafa? Thamani ya maisha ya watu ni kiasi gani?
Kipindi kile nilikuwa na miaka 17 na nilichaguliwa kwenda kupigana vita ya pili ya dunia!
enhee...
nakusikiliza mkuu.