Swali kuhusu Gwaride kwenye sherehe za kitaifa

Swali kuhusu Gwaride kwenye sherehe za kitaifa

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Kwanini Wazee wa Kaunda Suti (Usalama) huwa hawajipangagi pale katikati uwanjani kama polisi, Jeshi na Magereza siku ya sherehe za Kitaifa kama vile Uhuru au Muungano kwa ajili ya gwaride?

Maana Rais huingia uwanjani kukagua majeshi ya Ulinzi na Usalama, sasa mbona hawa jamaa wao huwa hawapo kwa ajili ya kupiga gwaride kama wenzao.Anayejua tafadhali aje atujulishe.

Cc GENTAMYCINE nifah na wengineo.
 
Nature ya kazi yao hawatakiwi kujulikana na watu
 
Kwanini Wazee wa Kaunda Suti (Usalama) huwa hawajipangagi pale katikati uwanjani kama polisi, Jeshi na Magereza siku ya sherehe za Kitaifa kama vile Uhuru au Muungano kwa ajili ya gwaride?

Maana Rais huingia uwanjani kukagua majeshi ya Ulinzi na Usalama, sasa mbona hawa jamaa wao huwa hawapo kwa ajili ya kupiga gwaride kama wenzao.Anayejua tafadhali aje atujulishe.

Cc GENTAMYCINE nifah na wengineo.

Training Ya Jeshi Na Training Yao Ni Vitu Viwili Tofauti Mkuu Japo Ktk Ngazi Ya Basic Wote HUFANYA Sawa Ila Mbeleni Wanapogawanywa Ktk Hivyo VITENGO Ndipo MAFUNZO MAALUM Ya Fani Husika Huchukua Nafasi Yake. Huwezi Amini Hata MAFUNZO Ya KOMANDOO Ni Tofauti Na Ya Hao Kaunda Suti. Hawa Jamaa Wanacheza Sana Na AKILI au UPEO Na Kubwa Zaidi Ni Kuweza KUFIKIRI Zaidi Ya Mtu Wa Kawaida ( NGUMBARU au POPOMA ) Anavyofikiri. Hata Ukija Ktk MAFUNZO Yao Mengi Ni Ya Aina Ya COMBAT Kwa Mfano Karate au Kung Fu Zao Hawa Jamaa Siyo Zile Ambazo Van Dame Wa Kawe Na Sinza Anazozicheza Na Kutupigia Nazo Huku Mitaani Hadi ANATUCHUKULIA Wake Zetu Bali Hawa Hufanya COMBAT MARTIAL ARTS Ambayo IMETUKUKA. Uwepo Wao Wa Watu 10 Ktk Eneo La Bwana Mkubwa Ni Sawa Sawa UWAHAMISHE MP WOTE 1500 Waliopo Gadi Lugalo Ukimjumuisha Na POPOMA Wao Tuliyenae Humu JF Aitwae Super Handsome. Mkuu Mussolin5 Nadhani MAADILI Unayajua Vyema Tu ILA Unachotaka Ni KUTUTAFUTIA Tu Watu Ubaya Hatimaye Njia Zetu Za Kwenda Msalani Ziote Nyasi. Naomba Tu Haya Machache YAKUTOSHE Vinginevyo Hakutakuwa Na Maana Tena Kuitwa Secret Agency.

ONYO au ANGALIZO: Naomba Utambue Kuwa Haya MAELEZO Yote Niliyoyatoa Hapa Ni Kwa Mujibu Wa Idara Yetu Hii Ya Mambo Hayo Ya Huku Kwetu Nchini Rwanda Nilipo Sasa Kikazi Ambapo Nimehadithiwa Tu Na Rafiki Yangu Aliyemo Humo Na Sijajua Kwa Huko Kwenu Tanzania.

Vipi Rais Dr. MAGUFULI Anataka Kufanya Ziara Hapo Wilayani Kwako UVINZA Ulipo Sasa Kama Mkuu Mpya Wa WILAYA Pengine Ndiyo Maana Unataka Kujua A,B,C's Za PRESIDENTIAL PROTOCALS AND VIP PROTECTION CODES? Naomba Nimwachie Na Dada nifah Na Yeye Pia ATIRIRIKE Otherwise Nashukuru Leo Kunikumbuka KUNAKOTUKUKA Na Kuniita Na Kunishirikisha Ktk UZI Wako. Ukithaminiwa Na Mtu Mkubwa Hivi Kama Wewe Mkuu Wa Wilaya Ya UVINZA Mkoani Kigoma Kuna Raha Sana Na Nimefarijika Mno.
 
Last edited by a moderator:
Nature ya kazi yao hawatakiwi kujulikana na watu

Mbona Ktk Tv Zetu Wakiwa Ktk MATUKIO Yao Ya Kikazi Huwa Tunawaona Mno Mkuu? Kwani Kwa Kuwaona Tu Pale Uwanja Wa UHURU Hakutoshi Kuwajua? Muhimu Kwao Siyo Kujulikana au Kutojulikana Na Sisi MANGUMBARU Bali Ni KUTEKELEZA Tu WAJIBU Wao Wa KIKAZI au KIMAJUKUMU Kulingana Na MATAKWA Ya KAZI Yao. Mbona Wengi Wao 24/7 Tunapishana Nao Tu Vibanda Umiza Vya Kuangalia Mipira Yetu Ya Ulaya, Wengine Ktk Kumbi Za Starehe, Kitaani Na Sehemu Mbalimbali Na Wala Hawana Noma Na Mtu Labda Tu Ujipendekeze? Nakumbuka Miaka 11 Iliyopita Nikiwa Huko Kwenu Tanzania Jijini Dar es Salaam Pale Maeneo Ya Jackies Pub Mkabala Na Kilima Nyege Kuna MAPOPOMA Fulani Hivi Nadhani Walitoka KUTUSUA Pesa Za Migodini Hivyo Wakati Sisi MANGUMBARU ( Masikini ) Tumekaa Pale Tunapiga Bia Zetu Za Pasi Ndefu ( Za Kusikilizia ) Wakaja Hao Washikaji Wa Mbuguni Na Kuanza Kukagua Meza Zote Na Wakikuta Tu Umeweka Bia Moja au Mbili Tu Mezani Walikuwa WANABINUA MEZA Yako Na Kumwaga Kila Kitu Kisha Wanamuita Muhudumu Na Kumwambia Akuletee Kreti Zima La Bia. Sasa Kimbembe Ktk Hiyo Pub Siku Hiyo Nakumbuka Alikuwepo Mzee Mmoja Hivi Ambaye Zamani Alikuwa Ni Mmoja Wa Walinzi Wa Marehemu Baba Wa Taifa ( Jina Lake Nalihifadhi ) Hivyo Wale Jamaa Kama Kawaida Yao Ya Kutaka SIFA Na Kuleta Fujo Zao WAKAENDA KUBIDUA ILE MEZA Ya Huyu Bodyguard Wa Nyerere Wa Zamani Na Nayakumbuka Maneno Haya Tu Mawili Niliyoyasikia Ya " Yalaaah Meno Yangu Siyaoni Na Nahisi Moyo Wangu Umetoka Jamani " Kisha Nikaona Walevi Wote Tuliokuwa Pale Ktk Ile Pub Tukigawana Mitaa Ya Pale Mkadini, Mara Chole Road Na Wengine Kule IST Utadhani Siku Hiyo IAAF Waliandaa Shindano La Kumpata Mrithi Wa Mwanariadha Bingwa Usain Bolt Kwa Jinsi Watu Tulivyokuwa Tukitoka NDUKI Kwa Hofu Ya Jinsi Yule Mzee Bodyguard Alivyowafanya Wale MAPOPOMA Wa MADINI Na Cha Kushangaza Sana Wakati Sisi Tumekimbia Pale Pub Yule Mzee Ndiyo Kwanza Alikuwa Anafungua Bia Ya Pili Amekaa Na Anaendelea Kunywa Zake Na Kilichoendelea Baada Ya Hapo Sikutaka Hata Kuuliza Tena Kwani Kama Wale Waliombidulia Tu Meza Yule Mzee Walihisi Meno Na Moyo Havipo Mimi Ningejipendekeza Kuuliza Ingekuwa Si Ajabu Na Mimi Ubongo Pamoja Na Ulimi Wangu Vyote Kwa Pamoja Vingekuwa Vinachungulia Nje. Hawa Jamaa Nawaheshimu KUNAKOTUKUKA! nifah Upo???????
 
GENTAMYCINE nakuwela kiporo, ipo siku nitakuhifadhi pale jumba jeupe kijitonyama,,,,
 
Kwani usalama wa Taifa ni Jeshi?

Kwako Wewe VIKOSI VYA ULINZI Na USALAMA Vinajumuisha Nini Na Nini au Ni Kitu Gani ? Halafu Hapo Ulipo Unaweza Hata Ukawa Na PhD Lakini Kumbe Ni POPOMA. Mwelewa Kamwe Hawezi Kuuliza Swali La KIPOPOMA Kama Hili. Sasa Naanza Taratibu Kumwelewa Ni Kwanini KIPAUMBELE Cha Lowassa Kilikuwa Ni ELIMU, ELIMU Na ELIMU.
 
GENTAMYCINE mbona unaandika kwa mihemko sana kama mtu mwenye nye...?
 
Last edited by a moderator:
Mbona Ktk Tv Zetu Wakiwa Ktk MATUKIO Yao Ya Kikazi Huwa Tunawaona Mno Mkuu? Kwani Kwa Kuwaona Tu Pale Uwanja Wa UHURU Hakutoshi Kuwajua? Muhimu Kwao Siyo Kujulikana au Kutojulikana Na Sisi MANGUMBARU Bali Ni KUTEKELEZA Tu WAJIBU Wao Wa KIKAZI au KIMAJUKUMU Kulingana Na MATAKWA Ya KAZI Yao. Mbona Wengi Wao 24/7 Tunapishana Nao Tu Vibanda Umiza Vya Kuangalia Mipira Yetu Ya Ulaya, Wengine Ktk Kumbi Za Starehe, Kitaani Na Sehemu Mbalimbali Na Wala Hawana Noma Na Mtu Labda Tu Ujipendekeze? Nakumbuka Miaka 11 Iliyopita Nikiwa Huko Kwenu Tanzania Jijini Dar es Salaam Pale Maeneo Ya Jackies Pub Mkabala Na Kilima Nyege Kuna MAPOPOMA Fulani Hivi Nadhani Walitoka KUTUSUA Pesa Za Migodini Hivyo Wakati Sisi MANGUMBARU ( Masikini ) Tumekaa Pale Tunapiga Bia Zetu Za Pasi Ndefu ( Za Kusikilizia ) Wakaja Hao Washikaji Wa Mbuguni Na Kuanza Kukagua Meza Zote Na Wakikuta Tu Umeweka Bia Moja au Mbili Tu Mezani Walikuwa WANABINUA MEZA Yako Na Kumwaga Kila Kitu Kisha Wanamuita Muhudumu Na Kumwambia Akuletee Kreti Zima La Bia. Sasa Kimbembe Ktk Hiyo Pub Siku Hiyo Nakumbuka Alikuwepo Mzee Mmoja Hivi Ambaye Zamani Alikuwa Ni Mmoja Wa Walinzi Wa Marehemu Baba Wa Taifa ( Jina Lake Nalihifadhi ) Hivyo Wale Jamaa Kama Kawaida Yao Ya Kutaka SIFA Na Kuleta Fujo Zao WAKAENDA KUBIDUA ILE MEZA Ya Huyu Bodyguard Wa Nyerere Wa Zamani Na Nayakumbuka Maneno Haya Tu Mawili Niliyoyasikia Ya " Yalaaah Meno Yangu Siyaoni Na Nahisi Moyo Wangu Umetoka Jamani " Kisha Nikaona Walevi Wote Tuliokuwa Pale Ktk Ile Pub Tukigawana Mitaa Ya Pale Mkadini, Mara Chole Road Na Wengine Kule IST Utadhani Siku Hiyo IAAF Waliandaa Shindano La Kumpata Mrithi Wa Mwanariadha Bingwa Usain Bolt Kwa Jinsi Watu Tulivyokuwa Tukitoka NDUKI Kwa Hofu Ya Jinsi Yule Mzee Bodyguard Alivyowafanya Wale MAPOPOMA Wa MADINI Na Cha Kushangaza Sana Wakati Sisi Tumekimbia Pale Pub Yule Mzee Ndiyo Kwanza Alikuwa Anafungua Bia Ya Pili Amekaa Na Anaendelea Kunywa Zake Na Kilichoendelea Baada Ya Hapo Sikutaka Hata Kuuliza Tena Kwani Kama Wale Waliombidulia Tu Meza Yule Mzee Walihisi Meno Na Moyo Havipo Mimi Ningejipendekeza Kuuliza Ingekuwa Si Ajabu Na Mimi Ubongo Pamoja Na Ulimi Wangu Vyote Kwa Pamoja Vingekuwa Vinachungulia Nje. Hawa Jamaa Nawaheshimu KUNAKOTUKUKA! nifah Upo???????

Hahahahhaaaaa, unenifanya nicheke kwa daladala, vipi hamkumpata huyo mrithi Wa BOLT
 
nilifyrahi sana kumuona first time mdada yupo pembeni ya magufuli na alikuwa stable big up
 
Ukiwa mwanausalama inabidi hata ID yako hapa JF iwe invisible..
 
nilifyrahi sana kumuona first time mdada yupo pembeni ya magufuli na alikuwa stable big up

Ila mi ningependa awepo mdada flani mrembo, m bichi, m bichi hivi, we si unaona wa obama yule anayefungua mlango wa limo raha sana.
 
Training Ya Jeshi Na Training Yao Ni Vitu Viwili Tofauti Mkuu Japo Ktk Ngazi Ya Basic Wote HUFANYA Sawa Ila Mbeleni Wanapogawanywa Ktk Hivyo VITENGO Ndipo MAFUNZO MAALUM Ya Fani Husika Huchukua Nafasi Yake. Huwezi Amini Hata MAFUNZO Ya KOMANDOO Ni Tofauti Na Ya Hao Kaunda Suti. Hawa Jamaa Wanacheza Sana Na AKILI au UPEO Na Kubwa Zaidi Ni Kuweza KUFIKIRI Zaidi Ya Mtu Wa Kawaida ( NGUMBARU au POPOMA ) Anavyofikiri. Hata Ukija Ktk MAFUNZO Yao Mengi Ni Ya Aina Ya COMBAT Kwa Mfano Karate au Kung Fu Zao Hawa Jamaa Siyo Zile Ambazo Van Dame Wa Kawe Na Sinza Anazozicheza Na Kutupigia Nazo Huku Mitaani Hadi ANATUCHUKULIA Wake Zetu Bali Hawa Hufanya COMBAT MARTIAL ARTS Ambayo IMETUKUKA. Uwepo Wao Wa Watu 10 Ktk Eneo La Bwana Mkubwa Ni Sawa Sawa UWAHAMISHE MP WOTE 1500 Waliopo Gadi Lugalo Ukimjumuisha Na POPOMA Wao Tuliyenae Humu JF Aitwae Super Handsome. Mkuu Mussolin5 Nadhani MAADILI Unayajua Vyema Tu ILA Unachotaka Ni KUTUTAFUTIA Tu Watu Ubaya Hatimaye Njia Zetu Za Kwenda Msalani Ziote Nyasi. Naomba Tu Haya Machache YAKUTOSHE Vinginevyo Hakutakuwa Na Maana Tena Kuitwa Secret Agency.

ONYO au ANGALIZO: Naomba Utambue Kuwa Haya MAELEZO Yote Niliyoyatoa Hapa Ni Kwa Mujibu Wa Idara Yetu Hii Ya Mambo Hayo Ya Huku Kwetu Nchini Rwanda Nilipo Sasa Kikazi Ambapo Nimehadithiwa Tu Na Rafiki Yangu Aliyemo Humo Na Sijajua Kwa Huko Kwenu Tanzania.

Vipi Rais Dr. MAGUFULI Anataka Kufanya Ziara Hapo Wilayani Kwako UVINZA Ulipo Sasa Kama Mkuu Mpya Wa WILAYA Pengine Ndiyo Maana Unataka Kujua A,B,C's Za PRESIDENTIAL PROTOCALS AND VIP PROTECTION CODES? Naomba Nimwachie Na Dada nifah Na Yeye Pia ATIRIRIKE Otherwise Nashukuru Leo Kunikumbuka KUNAKOTUKUKA Na Kuniita Na Kunishirikisha Ktk UZI Wako. Ukithaminiwa Na Mtu Mkubwa Hivi Kama Wewe Mkuu Wa Wilaya Ya UVINZA Mkoani Kigoma Kuna Raha Sana Na Nimefarijika Mno.

Mwana TISS popoma lililotukuka.
 
Last edited by a moderator:
Mbona Ktk Tv Zetu Wakiwa Ktk MATUKIO Yao Ya Kikazi Huwa Tunawaona Mno Mkuu? Kwani Kwa Kuwaona Tu Pale Uwanja Wa UHURU Hakutoshi Kuwajua? Muhimu Kwao Siyo Kujulikana au Kutojulikana Na Sisi MANGUMBARU Bali Ni KUTEKELEZA Tu WAJIBU Wao Wa KIKAZI au KIMAJUKUMU Kulingana Na MATAKWA Ya KAZI Yao. Mbona Wengi Wao 24/7 Tunapishana Nao Tu Vibanda Umiza Vya Kuangalia Mipira Yetu Ya Ulaya, Wengine Ktk Kumbi Za Starehe, Kitaani Na Sehemu Mbalimbali Na Wala Hawana Noma Na Mtu Labda Tu Ujipendekeze? Nakumbuka Miaka 11 Iliyopita Nikiwa Huko Kwenu Tanzania Jijini Dar es Salaam Pale Maeneo Ya Jackies Pub Mkabala Na Kilima Nyege Kuna MAPOPOMA Fulani Hivi Nadhani Walitoka KUTUSUA Pesa Za Migodini Hivyo Wakati Sisi MANGUMBARU ( Masikini ) Tumekaa Pale Tunapiga Bia Zetu Za Pasi Ndefu ( Za Kusikilizia ) Wakaja Hao Washikaji Wa Mbuguni Na Kuanza Kukagua Meza Zote Na Wakikuta Tu Umeweka Bia Moja au Mbili Tu Mezani Walikuwa WANABINUA MEZA Yako Na Kumwaga Kila Kitu Kisha Wanamuita Muhudumu Na Kumwambia Akuletee Kreti Zima La Bia. Sasa Kimbembe Ktk Hiyo Pub Siku Hiyo Nakumbuka Alikuwepo Mzee Mmoja Hivi Ambaye Zamani Alikuwa Ni Mmoja Wa Walinzi Wa Marehemu Baba Wa Taifa ( Jina Lake Nalihifadhi ) Hivyo Wale Jamaa Kama Kawaida Yao Ya Kutaka SIFA Na Kuleta Fujo Zao WAKAENDA KUBIDUA ILE MEZA Ya Huyu Bodyguard Wa Nyerere Wa Zamani Na Nayakumbuka Maneno Haya Tu Mawili Niliyoyasikia Ya " Yalaaah Meno Yangu Siyaoni Na Nahisi Moyo Wangu Umetoka Jamani " Kisha Nikaona Walevi Wote Tuliokuwa Pale Ktk Ile Pub Tukigawana Mitaa Ya Pale Mkadini, Mara Chole Road Na Wengine Kule IST Utadhani Siku Hiyo IAAF Waliandaa Shindano La Kumpata Mrithi Wa Mwanariadha Bingwa Usain Bolt Kwa Jinsi Watu Tulivyokuwa Tukitoka NDUKI Kwa Hofu Ya Jinsi Yule Mzee Bodyguard Alivyowafanya Wale MAPOPOMA Wa MADINI Na Cha Kushangaza Sana Wakati Sisi Tumekimbia Pale Pub Yule Mzee Ndiyo Kwanza Alikuwa Anafungua Bia Ya Pili Amekaa Na Anaendelea Kunywa Zake Na Kilichoendelea Baada Ya Hapo Sikutaka Hata Kuuliza Tena Kwani Kama Wale Waliombidulia Tu Meza Yule Mzee Walihisi Meno Na Moyo Havipo Mimi Ningejipendekeza Kuuliza Ingekuwa Si Ajabu Na Mimi Ubongo Pamoja Na Ulimi Wangu Vyote Kwa Pamoja Vingekuwa Vinachungulia Nje. Hawa Jamaa Nawaheshimu KUNAKOTUKUKA! nifah Upo???????

Hahahahahahaaaa uwiiiiiiiii ndio maana nakupenda sana kaka yangu kipenzi popoma,umenichekesha mbavu sina.
You made my day,thank you.
 


Maana Rais huingia uwanjani kukagua majeshi ya Ulinzi na Usalama, sasa mbona hawa jamaa wao huwa hawapo kwa ajili ya kupiga gwaride kama wenzao.Anayejua tafadhali aje atujulishe.

Cc
GENTAMYCINEnifah na wengineo.[/QUOTE]


NI NCHI GANI DUNIANI AMBAYO HAWA JAMAA WANAPIGA KWATA?


Sometimes you have to think better before you let somebody think on your behalf........
 
Back
Top Bottom