Swali kuhusu Gwaride kwenye sherehe za kitaifa

Swali kuhusu Gwaride kwenye sherehe za kitaifa

Mbona Ktk Tv Zetu Wakiwa Ktk MATUKIO Yao Ya Kikazi Huwa Tunawaona Mno Mkuu? Kwani Kwa Kuwaona Tu Pale Uwanja Wa UHURU Hakutoshi Kuwajua? Muhimu Kwao Siyo Kujulikana au Kutojulikana Na Sisi MANGUMBARU Bali Ni KUTEKELEZA Tu WAJIBU Wao Wa KIKAZI au KIMAJUKUMU Kulingana Na MATAKWA Ya KAZI Yao. Mbona Wengi Wao 24/7 Tunapishana Nao Tu Vibanda Umiza Vya Kuangalia Mipira Yetu Ya Ulaya, Wengine Ktk Kumbi Za Starehe, Kitaani Na Sehemu Mbalimbali Na Wala Hawana Noma Na Mtu Labda Tu Ujipendekeze? Nakumbuka Miaka 11 Iliyopita Nikiwa Huko Kwenu Tanzania Jijini Dar es Salaam Pale Maeneo Ya Jackies Pub Mkabala Na Kilima Nyege Kuna MAPOPOMA Fulani Hivi Nadhani Walitoka KUTUSUA Pesa Za Migodini Hivyo Wakati Sisi MANGUMBARU ( Masikini ) Tumekaa Pale Tunapiga Bia Zetu Za Pasi Ndefu ( Za Kusikilizia ) Wakaja Hao Washikaji Wa Mbuguni Na Kuanza Kukagua Meza Zote Na Wakikuta Tu Umeweka Bia Moja au Mbili Tu Mezani Walikuwa WANABINUA MEZA Yako Na Kumwaga Kila Kitu Kisha Wanamuita Muhudumu Na Kumwambia Akuletee Kreti Zima La Bia. Sasa Kimbembe Ktk Hiyo Pub Siku Hiyo Nakumbuka Alikuwepo Mzee Mmoja Hivi Ambaye Zamani Alikuwa Ni Mmoja Wa Walinzi Wa Marehemu Baba Wa Taifa ( Jina Lake Nalihifadhi ) Hivyo Wale Jamaa Kama Kawaida Yao Ya Kutaka SIFA Na Kuleta Fujo Zao WAKAENDA KUBIDUA ILE MEZA Ya Huyu Bodyguard Wa Nyerere Wa Zamani Na Nayakumbuka Maneno Haya Tu Mawili Niliyoyasikia Ya " Yalaaah Meno Yangu Siyaoni Na Nahisi Moyo Wangu Umetoka Jamani " Kisha Nikaona Walevi Wote Tuliokuwa Pale Ktk Ile Pub Tukigawana Mitaa Ya Pale Mkadini, Mara Chole Road Na Wengine Kule IST Utadhani Siku Hiyo IAAF Waliandaa Shindano La Kumpata Mrithi Wa Mwanariadha Bingwa Usain Bolt Kwa Jinsi Watu Tulivyokuwa Tukitoka NDUKI Kwa Hofu Ya Jinsi Yule Mzee Bodyguard Alivyowafanya Wale MAPOPOMA Wa MADINI Na Cha Kushangaza Sana Wakati Sisi Tumekimbia Pale Pub Yule Mzee Ndiyo Kwanza Alikuwa Anafungua Bia Ya Pili Amekaa Na Anaendelea Kunywa Zake Na Kilichoendelea Baada Ya Hapo Sikutaka Hata Kuuliza Tena Kwani Kama Wale Waliombidulia Tu Meza Yule Mzee Walihisi Meno Na Moyo Havipo Mimi Ningejipendekeza Kuuliza Ingekuwa Si Ajabu Na Mimi Ubongo Pamoja Na Ulimi Wangu Vyote Kwa Pamoja Vingekuwa Vinachungulia Nje. Hawa Jamaa Nawaheshimu KUNAKOTUKUKA! nifah Upo???????
CC Super Handsome.
Njoo umsome popoma wako huku
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom