Swali kuhusu internet package ya Airtel

GAMBLER

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2009
Posts
303
Reaction score
11
Habari wadau
Mimi nilikuwa natumia zantel siku za nyuma ambapo mtandao wao ulikuwa hausumbui, walikuwa wananipa 2GB kwa alfu kumi kwa wiki moja,Toka umeanza kusumbua nikahamia airtel ambapo wananipa 3Gb kwa alf 15 kwa wiki, sasa swali langu ni kuwa hii 3GB inaisha kabla ya wiki na wakati natumia zantel 2GB yao ilikuwa haishi ndani ya wiki na matumizi yangu ni yako sawa tu, naomba ujuzi wenu wadau
 
kusema kweli mi airtel niliona wananizingua tu mda mrefu..nikarudi zangu zantel..saiz maisha safi..
 
Cheki nao ila ki-ukweli Airtel ni wazuri tu, mimi ninatumia 400MB lakini mpaka ninaridhika zinavyoisha tofauti na zantel, kwa sasa Zantel ndio hawafai kabisa hawana urafiki na mteja, hivyo bundle ya 2GB unakuwa forced kununua kwa TZS. 15,000.0 na ikiisha kabla ni matatizo makubwa, lakini Airtel unaongeza kadri uwezavyo hakuna cha vigezo kuzingatiwa wala nini.
 
Airtel ni wezi tu... Nimechukua package yao ya 400MB nimedownload file lenye ukubwa wa 37 na kusurf kidogo, nilipocheck balance kuta zimebaki 307mb ikimaanisha nimetumie 93mb kitu ambacho siyo kweli...
 
Airtel ni wezi tu... Nimechukua package yao ya 400MB nimedownload file lenye ukubwa wa 37 na kusurf kidogo, nilipocheck balance kuta zimebaki 307mb ikimaanisha nimetumie 93mb kitu ambacho siyo kweli...
vipi kama windows update na ma application mengine kama anti-virus na ma cookies yana download na ku update definitions nyuma nyuma huko bila wewe kujua.

Halafu ku surf kidogo ndio kipimo gani, uki surf u-tube au site lenye mi picha mirefu dakika tano tu itakula kwako big time. Point is, it's difficult to quantify the bandwidth downloaded by just keeping track of time spent on the net.

In my experience Airtel ya 400MB kwangu inakaa at least wiki nzima, na kwa 2,500/= siwezi kulalamika, haswa ukilinganisha na alternatives zilizopo.
 
Mkuu wakati mwingine linatokea tatizo la kimtandao, kuna siku niliingiza kama 10,000 hv kwa kununua zile 400MB ambazo ni shilingi 2,500 sababu kila nikiweka natumia kidogo naambiwa hela imeisha, lakini baada ya siku kama 3 hv nilipokea sms kutoka Airtel wakiomba radhi kwa tatizo la kimtandao kwahiyo waliniwekea MB zenye gharama ya pesa niliyokuwa nikiweka.

Lakini kwa sasa nimehama kabisa AIRTEL nimeingia VODACOM ambapo nanunua bundle ya UNLIMITED siku 7 kwa 10,000 au bundle ya UNLIMITED mwezi mmoja kwa 30,000. Na-download hadi movies bila shida! Jaribu INTERNET YA VODACOM mkuu.
 


Mkuu ukicheck kwenye hiyo Modem yako hapokwenye menus, ya options then statistics itakuonyesha kiasi cha MB ulizotumia......hapo unaweza kulinganisha kama hesabu zao na hesabu za computer yako ziko sawa
 
Mkuu window update ziko off,antivirus na update officen , hakuna software inayoji update yenyewe, nilipo sema kusurf kidogo nilicheck mail kama dakika 10 hivi....

Naona kuna mdau amesema anapata unlimited kwa vodacom so ngoja nicheck nao nijisogeze pande hizo.
 

Mkuu naomba ufafanuzi kwenye hayo maandishi niliyo ya bold....mbona sijawahi kusikia voda wanatoa unlimit kwa tsh 10,000? naomba unieleze namna ya kujiunga na hiyo huduma tafadhali.
 

Mkuu sasa nimekubata.... Ila speed ya 64kbps ni ndogo sana.

 
hiyo speed ya 64kbps ni sawa na kasi ya kobe.
Bora niendelee kula 400mb za airtel kwa 2500 na speed ikofresh tu.
 
hiyo speed ya 64kbps ni sawa na kasi ya kobe.
Bora niendelee kula 400mb za airtel kwa 2500 na speed ikofresh tu.

Ni kweli mkuu, Airtel ndio kiboko yao, jana usiku nilikuwa napata speed ya 2Mbps .
 
Vipi kuhusu TTCL wadau? mbona hata na wao wana Banjuka inakuwa unlimited kwa kulipia muda ambao utakua una-surf online na siyo kulipia data? speed yao ikoje??
 
Vipi kuhusu TTCL wadau? mbona hata na wao wana Banjuka inakuwa unlimited kwa kulipia muda ambao utakua una-surf online na siyo kulipia data? speed yao ikoje??

Ina maana wanakucharge kwa saa? Kama ni ndiyo basi hiyo siyo unlimited.

Nasikia speed yao kwa sasa ni nzuri na wamepunguza gharama, maana walikimbiwa sana na wateja.
 
@mnganyizi: yep! inaitwa BANJUKA. kuanzia saa 3 - 12 asubuhi nia Tsh 500/hour Unlimited na muda wa asubuhi mpaka saa 12 jion ni Tsh 1000/hour na kuanzia saa 12 jion - 3 usiku ni Tsh 800/hour. Speed yao ni nzuri caz wameunganisha na Optic Fibre so kunakua hakuna satellite interference. 3.1-3.5MBPS
 
Nikitaka kupata 400mb za airtel kwa 2,500 nifanyeje? Nimewapigia customer service, hata hawapokei simu na website yao haionyeshi bundle rates
 
Nikitaka kupata 400mb za airtel kwa 2,500 nifanyeje? Nimewapigia customer service, hata hawapokei simu na website yao haionyeshi bundle rates
Andika neno internet na tuma 15444 na utajibiwa kuwa unataka kununua 400 MB kwa 2,500.00. Itakubidi ujibu ndiyo. Baada ya hapo kula bata, mambo yote Airtell. Speed ya uhakika gharama nafuu.
 
Andika neno internet na tuma 15444 na utajibiwa kuwa unataka kununua 400 MB kwa 2,500.00. Itakubidi ujibu ndiyo. Baada ya hapo kula bata, mambo yote Airtell. Speed ya uhakika gharama nafuu.

Ahsante sana.
 
TTCL is the best kati ya hao MAFISADI WOOOTE. Wizi mtupu!
 
TTCL is the best kati ya hao MAFISADI WOOOTE. Wizi mtupu!
dah jamaa yangu nakuonea huruma ..TTCL??!! mi naona ki ukweli kwa Tanzania Internet bado tuko nyuma..kwa sasa nawashuri kuchakachua tu modem manake kwa kufanya hivyo unakuwa free kutumia internet ya mtandao wowote kwa wakati utakao..siku voda ikizingua unahamia tgo, tgo nayo wakiringa unarukia airtel...manake ki ukweli kwa sasa kila mtandao unamatatizo yake...mi ni mdau mkubwa sana wa voda na nnachoprndea ni ile UNLIMITED bandwidth tu..ingawa kuna mda mtandao nahisi unakuwa down cjui ..ndo hapo nnapohamia zantel kwa mda au aitel...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…