NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
DCI kwa mamlaka yake utasikia amefutilia mbali kesi flani.
Swali huwa anaamua akijisikia au kuna taratibu za kisheria zinafuatwa kabla hajaamua?
Au anaweza amua kwa maslahì mapana ya kitaifa?maana kwa mawazo yangu kosa ni kosa.
Wanasheria msaada pse
Swali huwa anaamua akijisikia au kuna taratibu za kisheria zinafuatwa kabla hajaamua?
Au anaweza amua kwa maslahì mapana ya kitaifa?maana kwa mawazo yangu kosa ni kosa.
Wanasheria msaada pse