Habari
Naomba msaada juu ya HILI.
Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya
1)Akupe mtoto mwema ambaye ni mchamungu na mtiifu ila ataishi kwa miaka ishirini tu atamchukua yaani atafariki.
2)Akupe mtoto mtukutu,asiyependa dini na asiye na maadili yoyote kwa kifupi msumbufu, ila ataishi kwa miaka mingi duniani
Je ungekuwa wewe ungechagua yupi kati ya hao wawili?!!
NAOMBA JIBU SERIOUSLY.
THANK YOU
Hoja yako haina mshiko kwahiyo haiwezi kujibiwa kama mtihani darasani!jamani kwanini msichague jibu moja kati ya mliyopewa....ni swali dogo tu la kutegwa akili, No wonder y watanzania wanafeli sana mitihani. unaulizwa kingine we una tengeneza swali au hoja zako binafsi, mkifeli visingizio vingi.
HAPO NI majibu mawili tu chagua na sio hoja binafsi. mweeh!!
halaf inabidi atubu, yaani anamuuliza Mungu suala la multiple choice?. khaaaa!Hoja yako haina mshiko kwahiyo haiwezi kujibiwa kama mtihani darasani!
halaf inabidi atubu, yaani anamuuliza Mungu suala la multiple choice?. khaaaa!
kumbe we maskini? Dah!Ndo kizazi cha leo....maisha yangekua hivyo wote tungekua matajiri mbona!
kumbe we maskini? Dah!
Habari
Naomba msaada juu ya HILI.
Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya
1)Akupe mtoto mwema ambaye ni mchamungu na mtiifu ila ataishi kwa miaka ishirini tu atamchukua yaani atafariki.
2)Akupe mtoto mtukutu,asiyependa dini na asiye na maadili yoyote kwa kifupi msumbufu, ila ataishi kwa miaka mingi duniani
Je ungekuwa wewe ungechagua yupi kati ya hao wawili?!!
NAOMBA JIBU SERIOUSLY.
THANK YOU
Umeanza?Muangalie...!!!!
Muone mimacho kama gololi....na hamu ya kupigana leo!!Umeanza?
Thats my gal! can I love u? am so romantic today.Muone mimacho kama gololi....na hamu ya kupigana leo!!'
Thats my gal! can I love u? am so romantic today.
Yani wewe...mi nna hamu ya kupigana we unaniletea ishu za mapenzi?!Njoo nikupe za uso kwanza!
heheehh CPU kaondoka na handbag nini? nilimuona jana anakula chipsi kuku nikajiuliza jamaa tangu lini ameanza kula chipsi kuku?, kumbe ni mtaji wa Lizzy khaaa!
khaaa! nazani unajua kwamba mimi ni Lawyer maarufu hapa jijini, nina branch mpaka harare na kinshasa. Haya elezea kwa urefu! tupe na wasifu wa mtuhumiwa kabisa ili tujue saizi ya kitanda chake kule keko.Haahhha...si bora angekua anakula nazo chips ningefaidika na nguvu chips!!!Kuna mzee kaniingiza town kwa baiskeli ya mbao!
Hahhaa!!khaaa! nazani unajua kwamba mimi ni Lawyer maarufu hapa jijini, nina branch mpaka harare na kinshasa. Haya elezea kwa urefu! tupe na wasifu wa mtuhumiwa kabisa ili tujue saizi ya kitanda chake kule keko.