Swali kuhusu mtoto

Swali kuhusu mtoto

Habari

Naomba msaada juu ya HILI.

Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya

1)Akupe mtoto mwema ambaye ni mchamungu na mtiifu ila ataishi kwa miaka ishirini tu atamchukua yaani atafariki.

2)Akupe mtoto mtukutu,asiyependa dini na asiye na maadili yoyote kwa kifupi msumbufu, ila ataishi kwa miaka mingi duniani

Je ungekuwa wewe ungechagua yupi kati ya hao wawili?!!

NAOMBA JIBU SERIOUSLY.
THANK YOU

Never waste your time for impossibles ......!
 
jamani kwanini msichague jibu moja kati ya mliyopewa....ni swali dogo tu la kutegwa akili, No wonder y watanzania wanafeli sana mitihani. unaulizwa kingine we una tengeneza swali au hoja zako binafsi, mkifeli visingizio vingi.

HAPO NI majibu mawili tu chagua na sio hoja binafsi. mweeh!!
Hoja yako haina mshiko kwahiyo haiwezi kujibiwa kama mtihani darasani!
 
we nawe umekosa sred ya kuanzisha... Mungu wetu ni MWEMA SANA, so acha mzaha na Mungu.

afu na li avatar lako ndo unatia KINYAAAAAAAAAAAAA :A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:
 
Habari

Naomba msaada juu ya HILI.

Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya

1)Akupe mtoto mwema ambaye ni mchamungu na mtiifu ila ataishi kwa miaka ishirini tu atamchukua yaani atafariki.

2)Akupe mtoto mtukutu,asiyependa dini na asiye na maadili yoyote kwa kifupi msumbufu, ila ataishi kwa miaka mingi duniani

Je ungekuwa wewe ungechagua yupi kati ya hao wawili?!!

NAOMBA JIBU SERIOUSLY.
THANK YOU


jina lako tu lnaendana na swali lako
 
Unatania watu au unamtania mungu? Sijaelewa, hakuna Mungu wa masharti kama ya binadamu.
 
Yaani mungu akupe mtoto kwa masharti hapo hapawezekani hata kidogo
Hii itakuwa masharti ya mganga wa kienyeji
Pole
 
Yani wewe...mi nna hamu ya kupigana we unaniletea ishu za mapenzi?!Njoo nikupe za uso kwanza!

heheehh CPU kaondoka na handbag nini? nilimuona jana anakula chipsi kuku nikajiuliza jamaa tangu lini ameanza kula chipsi kuku?, kumbe ni mtaji wa Lizzy khaaa!
 
heheehh CPU kaondoka na handbag nini? nilimuona jana anakula chipsi kuku nikajiuliza jamaa tangu lini ameanza kula chipsi kuku?, kumbe ni mtaji wa Lizzy khaaa!

Haahhha...si bora angekua anakula nazo chips ningefaidika na nguvu chips!!!Kuna mzee kaniingiza town kwa baiskeli ya mbao!
 
Haahhha...si bora angekua anakula nazo chips ningefaidika na nguvu chips!!!Kuna mzee kaniingiza town kwa baiskeli ya mbao!
khaaa! nazani unajua kwamba mimi ni Lawyer maarufu hapa jijini, nina branch mpaka harare na kinshasa. Haya elezea kwa urefu! tupe na wasifu wa mtuhumiwa kabisa ili tujue saizi ya kitanda chake kule keko.
 
khaaa! nazani unajua kwamba mimi ni Lawyer maarufu hapa jijini, nina branch mpaka harare na kinshasa. Haya elezea kwa urefu! tupe na wasifu wa mtuhumiwa kabisa ili tujue saizi ya kitanda chake kule keko.
Hahhaa!!
Owkey ni mfupi hivi...meno matatu mbele hamna!!Anapepeseka japo anatumia mkongojo alafu ni mwembamba kuliko mnazi!!!
 
Back
Top Bottom