klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
khaaa! ilikuwaje ukatongozwa na huyu marehemu to be? Lizzy kwa kuzoa maoza oza bana!Hahhaa!!
Owkey ni mfupi hivi...meno matatu mbele hamna!!Anapepeseka japo anatumia mkongojo alafu ni mwembamba kuliko mnazi!!!
Nenda shule wewe naona uko shift ya mchana na angalia mother kaacha kiasi chake kwenye moderm akirudi toka kazini akute imepungua utaipa pata.
khaaa! ilikuwaje ukatongozwa na huyu marehemu to be? Lizzy kwa kuzoa maoza oza bana!
Khaaaaa!Kloro usinitafute maneno...mbona nilipokukutalia wewe hukuona kwamba nimejitendea haki!?
Sharobaro maana yake ni msichana anayeshinda kujiremba kwenye kioo muda wote, hii ni Arabic dictionary. kuna umuhimu wa kutenga JF TEENAGARS
Habari
Naomba msaada juu ya HILI.
Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya
1)Akupe mtoto mwema ambaye ni mchamungu na mtiifu ila ataishi kwa miaka ishirini tu atamchukua yaani atafariki.
2)Akupe mtoto mtukutu,asiyependa dini na asiye na maadili yoyote kwa kifupi msumbufu, ila ataishi kwa miaka mingi duniani
Je ungekuwa wewe ungechagua yupi kati ya hao wawili?!!
NAOMBA JIBU SERIOUSLY.
THANK YOU
lizzy mamaaa chagua jibu moja tuuu
Habari
Naomba msaada juu ya HILI.
Eti mfano wewe umehangaika kupata mtoto muda mrefu sana na hatimaye.. mungu ameamua kukupa mtoto ila akakwambia uchague kati ya haya
1)Akupe mtoto mwema ambaye ni mchamungu na mtiifu ila ataishi kwa miaka ishirini tu atamchukua yaani atafariki.
2)Akupe mtoto mtukutu,asiyependa dini na asiye na maadili yoyote kwa kifupi msumbufu, ila ataishi kwa miaka mingi duniani
Je ungekuwa wewe ungechagua yupi kati ya hao wawili?!!
NAOMBA JIBU SERIOUSLY.
THANK YOU
Ok sawa kabisa naamini hata kuto kujibu na kwenyewe ni jibu!!!
mmetoa kashfa kibao bila hata kujua nia ya swali...Hili swali tuliulizwa kanisani wengi walijibu majibu yao na majibu kama yenu yalikuwepo
Nikamuuliza mchungaji nini maana ya majibu hayo? akasema
1)UKICHAGUA JIBU LA KWAMBA UPATE MTOTO MZURI ILA AFE IN 20's inamaana kuwa
-wewe ni muuuaji
-Unapenda rahaa tu bila kupitia majaribu
-u r so selfish,unajifikiria mwenyewe tu
2)UKICHAGUA KUWA UMPATE ALIYE MTUKUTU maana yake ni
-Kwanza si muuaji
-upo tayari kujaribiwa
-unakubaliana na matakwa ya mungu na matakwa yako.
ok, kwa walio sema teenager au sijui jero ya internet cafe,mara nenda skuli dah!! wake up guys
Si lazima kujibu..Ni vizuri kufunga bakuli lako.
thats it!!
vitoto vya o'level utavijua tu kwa vihoja na viswali vya kipuuzi