Swali kuhusu mtoto

Hahhaa!!
Owkey ni mfupi hivi...meno matatu mbele hamna!!Anapepeseka japo anatumia mkongojo alafu ni mwembamba kuliko mnazi!!!
khaaa! ilikuwaje ukatongozwa na huyu marehemu to be? Lizzy kwa kuzoa maoza oza bana!
 
Sharobaro maana yake ni msichana anayeshinda kujiremba kwenye kioo muda wote, hii ni Arabic dictionary. kuna umuhimu wa kutenga JF TEENAGARS
 
Sharobaro maana yake ni msichana anayeshinda kujiremba kwenye kioo muda wote, hii ni Arabic dictionary. kuna umuhimu wa kutenga JF TEENAGARS

Thanx broda!
 

Kama Mungu amekuwa hivyo naacha kumchagua yeyote.
 
Bonge la mshirikina, umeenda kwa Sangoma, wamekupa maswali ya kipepo, unakuja hapa kutuuliza maswali ya giza. Potea kama huna kazi za kufanya. Ati Mungu, Mungu gani huyo? Mungu wa kweli hao wote kwake ni watoto na anawapenda sana anawaangazia jua lake kila siku sawa sawa.
 
lizzy mamaaa chagua jibu moja tuuu

hivi jinalako ni sharobalo? Shalobaro? Au sharobaro? Au shalobalo?

Maisha ya mtoto hayanihusu.... Mie sex then nalea kimaadili akizingua mipango ya mungu
 
hakuna atakejibu swali lako.. angalia AVATAR YAKO
 


Kweli wewe sharobalo.
 
Ok sawa kabisa naamini hata kuto kujibu na kwenyewe ni jibu!!!

mmetoa kashfa kibao bila hata kujua nia ya swali...Hili swali tuliulizwa kanisani wengi walijibu majibu yao na majibu kama yenu yalikuwepo

Nikamuuliza mchungaji nini maana ya majibu hayo? akasema

1)UKICHAGUA JIBU LA KWAMBA UPATE MTOTO MZURI ILA AFE IN 20's inamaana kuwa
-wewe ni muuuaji
-Unapenda rahaa tu bila kupitia majaribu
-u r so selfish,unajifikiria mwenyewe tu

2)UKICHAGUA KUWA UMPATE ALIYE MTUKUTU maana yake ni
-Kwanza si muuaji
-upo tayari kujaribiwa
-unakubaliana na matakwa ya mungu na matakwa yako.

ok, kwa walio sema teenager au sijui jero ya internet cafe,mara nenda skuli dah!! wake up guys
Si lazima kujibu..Ni vizuri kufunga bakuli lako.

thats it!!
 

Kama ulikuwa na majibu tayari umeuliza ili iweje? mji2 mingine bana!
 
Mungu hawezi mpa mtu mtoto mtukutu, labda sema ulienda kwa mganga au shetani
 
Hii ni joke sio story/issue, i think hapa sio mahala pake! Bt kwa leo nachangia, "Mungu hawezikua na maamuzi ya kishetani, NENDA KWA MGANGA"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…