Habari ya Sunday
Mimi nimekuwa nikijaribu kutafuta gari kwa ajili yaatumizi ya ngu na napendelea minivans. Nikawa natafuta mtu anayeuza hilp gari bongo ili ninunue. Lakini ñayapata mtandaoni hàya magari yanauzwa bei ndogo sana. Ni kama thamani yake inashuka haraka kuliko mfano Noah na Alphard
Keà wajuzi wa magari. Nissan serena kwañini inashuka thamani hivyo na zina matatizo gañi kwamba watu hawazipendo tena bongo wanàziuza kwa bei ya hasara??
Mimi nimekuwa nikijaribu kutafuta gari kwa ajili yaatumizi ya ngu na napendelea minivans. Nikawa natafuta mtu anayeuza hilp gari bongo ili ninunue. Lakini ñayapata mtandaoni hàya magari yanauzwa bei ndogo sana. Ni kama thamani yake inashuka haraka kuliko mfano Noah na Alphard
Keà wajuzi wa magari. Nissan serena kwañini inashuka thamani hivyo na zina matatizo gañi kwamba watu hawazipendo tena bongo wanàziuza kwa bei ya hasara??