kagobhe
Member
- Aug 27, 2020
- 89
- 26
Havipo wala tofaut na hivyo labda vya private utapataSawa,, naomba pia mnitajie vyuo vingine ambavyo bado vina endelea na usajili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Havipo wala tofaut na hivyo labda vya private utapataSawa,, naomba pia mnitajie vyuo vingine ambavyo bado vina endelea na usajili
Ooh sawa kaka angu nimekupataUnataka kozi gani?
Kama CO kwa maksi zako unavigezo ila huwezi kupata Goverment labda ukaanzie private then utahamia Goverment....kozi zinazokufaa kwa maksi zako Nursing,pharmacy pia kuna hizi mbili japo napo ni 50/50 Medical lab na Dentall.Pia kwa sasa sahau kuhusu dirisha la pili maana vyuo karibu vyote vimejaaa n kama wakiruhusu kupata pia ishu,kamauna uwezo focus private then uhame.
Nb;ushauri w bure sasa wewe kaz ubongo ubaki nyumbani
Yaan una maana ni hvyo tu viwili kama kipo kingine inahusiana na cours ya pharmacy ama hata agricultureHavipo wala tofaut na hivyo labda vya private utapata
Kwa agriculture kuna SUA vingine sivijui...vya afya ndo najua tu udom na muhasYaan una maana ni hvyo tu viwili kama kipo kingine inahusiana na cours ya pharmacy ama hata agriculture
Asante kaka anguuKwa agriculture kuna SUA vingine sivijui...vya afya ndo najua tu udom na muhas
OkayAsante kaka anguu
Unaweza pia uka apply Diploma kwa Udom kama umemaliza 4 tuAsante kaka anguu
Yeah inawezekana tuUnaweza pia uka apply Diploma kwa Udom kama umemaliza 4 tu