alipokuwa anajisajili applock aliingiza email au alijibu maswali, aende kwenye forget password ataambiwa aingize email au
ajibu swali alilochagua wakati anajisajili.
kama hakumbuki chochote ajaribu ku recover picha kama zina umuhimu, lakini za kwenye applock ni ngumu kutazipata maana
ina encrypt data.