Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?


Sasa kama ni hivyo mbona huku JF hutumii hisabati? Ila kiukweli mm nakukubali sana na huwa sipendi ukosee
 
Brother Mayayala wakati mwingine unanifurahisha sana kutelekeza usomi wako na kujivika unazi au ushabiki wa kisiasa. Ukweli unajua ni nini hasa unachokihita kususa. No equal ground levels, wengine wanafanya siasa day and night including all media wengine ni kesi za jinai na kufungwa except JF etc. yangu ni hayo broooohhh.
Karibu sana mtori nyama tunaweza kuzikuta chini.
 
Jibu ni wewe kujua maana na umuhimu wa migomo (strikes / boycotts) duniani kote na si TZ yako. Nina imani kwa usomi wake umenielewa vema.
 
Naunga mkono hoja.
P
 
Wewe ni CCM Thread zako zinajieleza. mbona hujakemea figisu walizofanya wasimamizi wa uchaguzi? unakimbilia kukosoa waliosusia?
 
Hii ni JF
 
kususa huku kuchukuliwe katika hali ya ushindani . je kuna fair ground ya ushindani ? . naona chadema walichelewa sana , inabidi waseme hata siasa tunaacha mpaka vigezo fulani vifikiwe ......huu ni uhuni.

huwezi kusema unampeleka mtoto shule wakati wa kufanya mitihani , humwamini mwalimu na unamuibia mtihani ili afaulu . kisha unasema mwanangu amefaulu NO.
 
Bro acha story nyingi pesa ndio kila kitu, usidanganye jamii kuwa hununuliki, mkuu wa mkoa wa kilimanjaro angekuwa na msimamo angebaki kwenye chama chake, na ashirikiane na jamii kuijenga nchi, umaskini wake ndio umemfanya awe mkuu wa mkoa, kwaiyo usidangaye nafsi kwakusema hununuliki wakat najua hakuna asiyependa maisha mazur..

Tanzania kinachotu.cost ni kuwa na wagombea au viongoz ambao ni maskini, na wakipewa dhamana kwanza ni interest zao alafu baadae wananchi wake.. Hili ndio linaloitesa tanzania


 
Tujikumbushe kutoka maktaba zetu rai ya muhenga!
 
Wee pascal hapo ndo hua najiulizaga unatumia ukabila kuitetea ccm au njaa hv hata kama wasingesusa ulitaka washirikiji sasa kuwapigia kura ccm au maana wagombea wote wa cdm,Act Cuf hawapo wako ccm yenyewe na unajua mgombea akiwa mmoja kapita bila kupingwa sasa hata kama wangeshiriki wangefanyaje yaan ulitaka waende kuwapigia kura waliobaki ccm au mkuu embu itendee haki ilboru na udsm
 
Paskali, angalau naungana na wewe kwa point moja kuwa upinzani na Watanzania wafanye jambo kwa namna yoyote ile ili kuwe na meza ya mazungumzo ama sisi wenyewe au kwa kukalishwa na mataifa mengine. Njia ya pili huenda bado kwenye kwenye nchi hii wenye busara na wenye maono wanaoweza kuona kilichoka nyuma ya mlima na kuchukua hatua mapema.
 
Hiki ndicho Mbowe alichofanya jana. Kutafuta suluhu mezani.
P
 
Mwenyekiti wa Chadema Mhe. Freeman Mbowe, aliwahasisha Chadema kususia uchaguzi wa serikali za mitaa, wakasusa, CCM wakatwaa ushindi wa mezani.

Katika bandiko hili nililaumiwa sana.

Jana pale Mwanza, Mhe. Mbowe kaomba maridhiano, swali ni jee Chadema waliposusa, walisusa ili wapate nini kama mwisho wa siku unakuja kubembeleza kuomba maridhiano?.

Siku zote haki haiombwi wala hailetwi kwenye kisahani cha chai, huwa inapiganiwa!.
P
 
Umenena kweli, ila matusi utayaoga.
 
Yaani CCM walishinda uchaguzi wa serikali za mitaa kwa 99% +?
Baada ya kusoma uongo huo wa ushindi nimeachia hapo siwezi endelea kusoma
Mkuu Kamili, the end justify the means, mshindi wa uchaguzi wa serikali za mitaa ni CCM kwa ushindi wa kishindo cha 99.9%
huu ndio ukweli wenyewe na sio uongo, na uchaguzi ulikuwa huru na wa haki na umeendeshwa kidemokrasia.
Kitendo cha kuacha kusoma lile bandiko ni kususa, na kususa ni tabia za...
P
 
Midahalo ni muhimu sana la sivyo mtu unakuwa wa ajabu ajabu tu. Mara unanuna, mara unasusa nk.
Mkuu J Mushi, mimi ni muumini wa openness, truthfulness and transparency hivyo tabia ya kununa na kususa ni tabia za kike.
Mimi huwa sinuni wala sisusi, nimeishavurumishiwa tuhuma kibao humu huwa najibu, nimeisha tukanwa sana humu, na kila anayenitukana, kwangu anakula like.

P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…