Naomba kufahamu mambo kadhaa kuhusu mkongo wa Taifa:
1. Je umekamilika?
2. Je tumeshaanza kuutumia? Kama jibu ni ndiyo, mbona basi speed ya internet iko vilevile kama zamani na mbona bei hazijashuka kama ilivyotarajiwa?
3. Kama haujakamilika, je ukikamilika kutakuwa na unafuu wowote au ni PROPAGANDA TU?
Najua hapa JF kuna watu wanaojua. Naomba mtujuze tafadhali.
Ahsanteni!
1. Je umekamilika?
2. Je tumeshaanza kuutumia? Kama jibu ni ndiyo, mbona basi speed ya internet iko vilevile kama zamani na mbona bei hazijashuka kama ilivyotarajiwa?
3. Kama haujakamilika, je ukikamilika kutakuwa na unafuu wowote au ni PROPAGANDA TU?
Najua hapa JF kuna watu wanaojua. Naomba mtujuze tafadhali.
Ahsanteni!